Nimekuja mbio mbio nikajuwa unaongea mambo ya gesi kwenda
bure china.
We boya kweli na laiti Kama tungekua China ccm wangenyongwa wote kingebaki chama bila viongozi
kwa hoja yako nzuri ya kama ingekuwa china lowasa angeshtakiwa , ndio mana tunataka kuitoa ccm kwakushindwa kumshtaki huyo lowasa, au walau hata kumfungulia mashtaka kama babu seya na watuhumiwa wengine , ,huuu upuuzi sikutegemea ungeandikwa na gazeti nililokuwa nikilipenda sana. BASI JIBU LANGU NDIO HILO KWAKUWA SEREKALI YA CCM IMESHINDWA KUMSHTAKI EL BASI SITAICHAGUA KAMWE
kwa nchi za wenzetu angenyongwa mwakyembe alafu sita kwa nini walificha ukweli? na kama kweli lowassa ni fisadi kwa nini asipelekwe mahakamani? kwa maneno yako ccm inalea mafisadi na kwa hiyo tusiichague maana tukiichagua itatuongezea mafisadi bora tuipumzimshe mwaka huu
Kama ndiyo hivyo CCM iondoke tu maana wamemlea wenyewe mpaka hapo alipo.
Watuambie mabaya ya Watu wao wakiwa CCM siyo wasubirie wamehama.
kwa nchi za wenzetu angenyongwa mwakyembe alafu sita kwa nini walificha ukweli? na kama kweli lowassa ni fisadi kwa nini asipelekwe mahakamani? kwa maneno yako ccm inalea mafisadi na kwa hiyo tusiichague maana tukiichagua itatuongezea mafisadi bora tuipumzimshe mwaka huu
Nimekuja mbio mbio nikajuwa unaongea mambo ya gesi kwenda
bure china.
Kama kweli China wanaichukia rushwa, ni kwanini walikubali rushwa ya gesi kutoka kwa Mkulu baada ya his son kukamatwa Live na Poda
Kwani tume haikuliona hilo,Magufuri aliuza nyumba za serikali kwa bei ya nyanya,nyingine akachukua yeye,nyingine akampa kimada wake,sio kashfa?na ole wake Lowasa akiingia Ikulu tunawanyanganya hizo nyumba!
Tunaanza na mkulu, kwa nini alimlea fisadi kiasi hicho jamani? Yaani ameshindwa kumnyonga hadi leo?!!!!!
Hivi tanzania wakisema wananyonga mafisadi si tutanyongwa wote? Kazi ipo kwa mnyongaji sasa yeye sijui atanyongwa na nani? Maana ye ndo atakuwa bonge la lifisadi.
Tungetumia hiyo sytem ya china Lowasa kweli angenyongwa lakini je nani angepona?! Kikwete? Pinda? Muhongo? Tibaijuka? Chenge? Ngereja? Nchimbi? Nape? Mramba? Yona? Mwandishi amefail kusema kuwa nchii hii isingebaki na serikali kama tungetumia hiyo sytem ya china......poor analysis
Na wewe una poor analysis. Wote uliowataja hawagombei urais. EL anagombea urais. Point ni kwamba sawa na uliowataja hapo juu hawafai kuwa marais wa nchi hii sababu ni fisadi. Ushkaji ndi umetufikisha hapa. Mode ya utawala wa sasa ndo mode ya EL. Unasema mabadiliko. Are u serious? Zaidi ni ushabiki na matumaini ya kiambulia vyeo vya kishkaji akiingia ikulu. Zaidi ya hapo EL hafai kuwa rais.
Adith yako inatufundisha nni?????
Yaani eti kwa sababu lowasa fisadi nirudi kuiamini na kuichagua ccm iliyomlea na ufisadi wake? Ilojaa ufisadi kuenzia kwa balozi, mwenyekiti wa mtaa, diwani , mbunge, mawaziri, hadi aliekuwa waziri mkuu wao lowasa, na nani yule sijui, halafu bado nimchague magufuli? Kama tunataka mtu msafi basi bora tumchague Hashimu rungwe, maaana ye sijawahi kusikia ufisadi wake.