Chimbuko la Uislam na Karen Armstrong

Soma na uelewe nilijibu kwamba Hadith zote nilizo weka zimetoka kwenye kitabu ambacho tayari kinaitwa Sahih , Kuna sahih muslim na sahih Bukhari , so sikutegeme ule mchezo wenu mkizidiwa hoja mnasema Dhaif hadith
Hadith zote za Sunn ninazo maelfu ila za shia ndio sina
-ukinifundisha kuhusu hadith unapoteza muda tuendelee na mada , wewe utakuwa unazipata hadith , Koran na Tafsir
-Kuna aya za unyonyeshaji hazipo kwenye Koran baada ya Muhammad , nani kazifuta?
 
Hajawahi kujibu 1st na 3rd , ulijibu ukatoka nje ya swali ukaanza kuongelea allah anapo ongea kwa wingi (anaposema Sisi)
cha hajabu huwezi kujibu maswali ila unaweza kuandika maelezo ambayo hayaeleweki kama hayo hapo juu

rudi pangua hoja au kama umeshindwa sema Hadith ni Dhaif nifunge mada
  • Nani kafuta na wapi kwenye koran tunasoma zilifutwa, Muhammad kafa kaziacha
  • Aisha anasema allah alipunguza kunyonyesha mtu mzima kutoka mara 10 kwenda mara 5 na sio kufuta
Sahih-Muslim 1453e:
....I see in the face of Abu Hudhaifa (the signs of disgust) on account of entering of Salim (in the house), whereupon Allah’s Messenger said Suckle him. She (Sahla bint Suhail) said: He has a beard. But he (again) said: Suckle him, ....
Verse zilikuwepo
Sahih Muslim 1452b
...There was revealed in the Holy Qur'an ten clear sucklings, and then five clear (sucklings).
Sahih Muslim 1452a
'A'isha (Allah be pleased with, her) reported that it had been revealed in the Holy Qur'an that ten clear sucklings make the marriage unlawful, then it was abrogated by five sucklings and Allah's Apostle (ﷺ) died and it was before that time (found) in the Holy Qur'an (and recited by the Muslims).
 
Hii dini ni ya kikatili sana, inaleta maafa makubwa duniani, ona Msumbiji,Congo, Somalia, watu wameivamia hii dini kwa pupa
 
 
  • Uncho sikitisha ni mtupu sana kwenye dini
  • Unasema mtu akifa na ukafiri moto ni Halali , na unampinga Allah na Muhammad
  • Allah kasema ata uwe mwema atakupeleka motoni na ata uwe kafir atakupeleka kwenye pepo yake
  • Ata mtoto mchanga akifa kama Allah alimpangia moto ni moto tu
  • .....And by Allah, a person among you (or a man) may do deeds of the people of the Fire till there is only a cubit or an arm-breadth distance between him and the Fire, but then that writing (which Allah has ordered the angel to write) precedes, and he does the deeds of the people of Paradise and enters it; and a man may do the deeds of the people of Paradise till there is only a cubit or two between him and Paradise, and then that writing precedes and he does the deeds of the people of the Fire and enters it." Sahih al-Bukhari 6594
 
Vitabu vina faharisi/Yaliyomo rejea kachague unachokitaka utakikuta usitafute pakutokea haya haya unayotuwekea humu yapo vitabuni,sasa soma vitabu usikimbie hoja.
 
Hakuna hoja hapo sababu unaenda kinyume na uhalisia na kuonyesha ya kuwa huijui Qur'aan na hili nimeliweka wazi tangu mwanzo.
 
Allah! anashusha aya flani then analeta nyingine ku-replace iliyopo ina maana gani?
Kama ni mabadiliko ya nyakati yanepelekea kubalika kwa aya saivi hizo
aya hazipitii hayo mabadiliko?
Hazipitii mabadiliko sababu jambo lilishaisha na kukamilika.
 
Hii dini ni ya kikatili sana, inaleta maafa makubwa duniani, ona Msumbiji,Congo, Somalia, watu wameivamia hii dini kwa pupa
mambwa kama nyie ndo wakuua kabisa mnadanganywa na vitabu vya juzi mbwa nyie .usislamu ni dini haki na ndo dini ya mwenyezi mungu
 
Allah! ni muislam?
Hili ndiyo tatizo la kujadili mambo ukiwa hujui unajadili nini.

Umeuliza swali la uongo,sababu Allah hajengewi swali kwa mjengo huo.

Swali lako limeonyesha yafuatayo :

1. Hujui Uislamu ni nini ?
2. Humjui Allah ni nani ?

Hili tatizo kubwa sana.

Sasa nakwambia hivi "Tengeneza kiti chako kwanza kisha ndiyo ukipambe".
 
Allah simjui ndio na sitaki kumjua..
Na naelezea Allah kwa jinsi wafuasi wake mnavyo muelezea
Lakini kunawalakini juu uwezo wa Allah unapoishia inakuwaje
Allah anataka apiganiwe kwa jihadi kwanini asijipiganie mwenyewe?
Au mnalipa fadhila ya kuumbwa na Allah
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…