Soma na uelewe nilijibu kwamba Hadith zote nilizo weka zimetoka kwenye kitabu ambacho tayari kinaitwa Sahih , Kuna sahih muslim na sahih Bukhari , so sikutegeme ule mchezo wenu mkizidiwa hoja mnasema Dhaif hadithKingine nikuelimishe kauli yako hii
"Jibu humu kumbuka hadith zote zipo kwenye kitabu kinaitwa sahih"
🤣🤣 Mkuu utanisamehe maana mpaka hapa nimeshaelewa level yako ya ufaham wa dini hii ya uislamu sorry no offence.
Kwanza si kweli kwamba "hadithi zote zipo kwenye kitabu kinaitwa sahihi 🤣🤣
(Sorry nimeshindwa kujizuia aisee) hakuna kitabu kinaitwa sahih .
Vitabu vya hadithi vinategemeana na madhhab unayoyaongelea mfano
Sunni islam wana vitabu hivi hapa sahih muslim, bukhari, sunnan ibn majah , na sunnan ibn taymiyya.
Ukija kwa shia islam wao wana kitabu kinaitwa "nahjul balagha" sasa sijui hicho sahih... Umekitoa wapi 😅😅.
Ila umejitahidi aisee 🤣😅😅 you're wellcome nikimakiza kukujibu maswali yako yoote kama nilivyosema na mimi nina yangu machache.
Hadith zote za Sunn ninazo maelfu ila za shia ndio sina
-ukinifundisha kuhusu hadith unapoteza muda tuendelee na mada , wewe utakuwa unazipata hadith , Koran na Tafsir
-Kuna aya za unyonyeshaji hazipo kwenye Koran baada ya Muhammad , nani kazifuta?