Chimbuko la Uislam na Karen Armstrong

Kuna kitu kinaitwa
1st person - yani Mimi au sisi
3rd person -kuongelea mtu mwingine ambae sio wewe, yani wao, yeye ,yakwao n.k

Hapa allah anaongea moja kwa moja na anatumia 3rd person ku reffer kwa Mungu , allah anasema kuna Mungu ndio aliye kuumbeni
6:2. Yeye ndiye aliye kuumbeni kwa udongo,....
6:2 - Yeye ndiye aliye kuumbeni kwa udongo, kisha akakuhukumieni ajali, na muda maalumu uko kwake tu. Tena baada ya haya nyinyi mnatia shaka.

Bila shaka haya ni maneno ya Muhammadi.
Ingawa hajaambiwa popote "sema"
 
6:2 - Yeye ndiye aliye kuumbeni kwa udongo, kisha akakuhukumieni ajali, na muda maalumu uko kwake tu. Tena baada ya haya nyinyi mnatia shaka.

Bila shaka haya ni maneno ya Muhammadi.
Ingawa hajaambiwa popote "sema"
Koran wanasema ni maneno ya Allah ila ukisoma yenyewe inampinga hivyo

Ukisema moja kwa moja ni Allah kaongea , inabidi ukubali Kuna Mungu na Allah alikuwa ana refer kwake
 
M nawashangaa sana walokuw sio Waislamu kuujadili Uislamu wakati ata hawaujui
Yni ni sawa na engineer kwenda kumfanyia operation mgonjwa
Msipende kuuongelea Uislamu ili hali hamuujui kma mnataka kuuongelea Uislamu kajifunzeni kwanza hlf muje kuongea mna humu ndani muislamu anojielewa hawezi kubishana na nyinyi ili hali ni watupu kabisaa
Mana nyinyi mumemezeshwa baadhi ya Aya ili muudhihaki Uislamu lakini Laiti Uislamu usingekua Dini ya haqqi leo hii tusingeusikia kabisaa mna toka enzi Unapigwa vita lkn cha kushangaza watu wanazidi kusilimu kila uchao.

Ukikataa kwa chuki zako tuu lkn huo ndo ukweli.
 
M nawashangaa sana walokuw sio Waislamu kuujadili Uislamu wakati ata hawaujui
Yni ni sawa na engineer kwenda kumfanyia operation mgonjwa
Msipende kuuongelea Uislamu ili hali hamuujui kma mnataka kuuongelea Uislamu kajifunzeni kwanza hlf muje kuongea mna humu ndani muislamu anojielewa hawezi kubishana na nyinyi ili hali ni watupu kabisaa
Mana nyinyi mumemezeshwa baadhi ya Aya ili muudhihaki Uislamu lakini Laiti Uislamu usingekua Dini ya haqqi leo hii tusingeusikia kabisaa mna toka enzi Unapigwa vita lkn cha kushangaza watu wanazidi kusilimu kila uchao.

Ukikataa kwa chuki zako tuu lkn huo ndo ukweli.
Shida wewe unahubiri badala ujibu maswali yanayokuwa raised

Saidia hapa huyu alieongea ni Allah au Muhammad

Kuna kitu kinaitwa
1st person - yani Mimi au sisi
3rd person -kuongelea mtu mwingine ambae sio wewe, yani wao, yeye ,yakwao n.k

Hapa allah anaongea moja kwa moja na anatumia 3rd person ku reffer kwa Mungu , allah anasema kuna Mungu ndio aliye kuumbeni
6:2. Yeye ndiye aliye kuumbeni kwa udongo,....
 
M nawashangaa sana walokuw sio Waislamu kuujadili Uislamu wakati ata hawaujui
Yni ni sawa na engineer kwenda kumfanyia operation mgonjwa
Msipende kuuongelea Uislamu ili hali hamuujui kma mnataka kuuongelea Uislamu kajifunzeni kwanza hlf muje kuongea mna humu ndani muislamu anojielewa hawezi kubishana na nyinyi ili hali ni watupu kabisaa
Mana nyinyi mumemezeshwa baadhi ya Aya ili muudhihaki Uislamu lakini Laiti Uislamu usingekua Dini ya haqqi leo hii tusingeusikia kabisaa mna toka enzi Unapigwa vita lkn cha kushangaza watu wanazidi kusilimu kila uchao.

Ukikataa kwa chuki zako tuu lkn huo ndo ukweli.
Nenda post number 440 msaidie mwenzako, anachomoa mistari kutoka vitabu vya watu anadai ni injili ya issa wa Allah
 
So waafrika na mungu gani aisee kama huyu wa kiarabu hamna,wakiyahud hamna... Nipe direction chief...
Omba Neema! kwa imani! Mungu wa kweli utamjua!! akuonyesha njia ya kweli na uzima! siyo km huyo wa kwako! ukisema wayahudi una maana gani? Maana wayahudi wa kweli walipotea mpaka leo hawajulikani!! kwa sababu hii kila mtu! kila Dini!, kila Taifa! wanajiona ndiyo wayahudi!

kwa muktadha huu sikutaja Dini ya wayahudi!! na weye ukitamka wayahudi sema wayahudi gani ambao mie nimewataja! acha mihemuko! kumbuka pia kuwa siyo Waafrica wote! wana mjua Mungu wa kweli! wako chaka mbaya! Mkuu!

na Mungu hutamjua kimzaha mzaha tuu! km ivi!....... funga na kuomba kwa dhati ya Moyo! sikio lake si zito!
 
Ila Allah! Yani leo hii ingekuwa ukienda kwa Muslim women mtu mzima unanyonya mara Tano Yani alibadili ile mara 10 ikawa mara 5 , Yani alikuwa hajui kabisa Kuna kipindi mwanamke yupo kwenye joto

Sahih Muslim 1452b
...There was revealed in the Holy Qur'an ten clear sucklings, and then five clear (sucklings)
Umeangalia video lakini!
 
Umeangalia video lakini!
  • Hakuna point , kasema silifutwa ila unyonyeshaji ulikuwepo
  • Nani kafuta na wapi kwenye koran tunasoma zilifutwa, Muhammad kafa kaziacha
  • Aisha anasema allah alipunguza kunyonyesha mtu mzima kutoka mara 10 kwenda mara 5 na sio kufuta
Sahih-Muslim 1453e:
....I see in the face of Abu Hudhaifa (the signs of disgust) on account of entering of Salim (in the house), whereupon Allah’s Messenger said Suckle him. She (Sahla bint Suhail) said: He has a beard. But he (again) said: Suckle him, ....

Verse zilikuwepo
Sahih Muslim 1452b
...There was revealed in the Holy Qur'an ten clear sucklings, and then five clear (sucklings).
Sahih Muslim 1452a
'A'isha (Allah be pleased with, her) reported that it had been revealed in the Holy Qur'an that ten clear sucklings make the marriage unlawful, then it was abrogated by five sucklings and Allah's Apostle (ﷺ) died and it was before that time (found) in the Holy Qur'an (and recited by the Muslims).
 
  • Hakuna point , kasema silifutwa ila unyonyeshaji ulikuwepo
  • Nani kafuta na wapi kwenye koran tunasoma zilifutwa, Muhammad kafa kaziacha
  • Aisha anasema allah alipunguza kunyonyesha mtu mzima kutoka mara 10 kwenda mara 5 na sio kufuta
Sahih-Muslim 1453e:
....I see in the face of Abu Hudhaifa (the signs of disgust) on account of entering of Salim (in the house), whereupon Allah’s Messenger said Suckle him. She (Sahla bint Suhail) said: He has a beard. But he (again) said: Suckle him, ....

Verse zilikuwepo
Sahih Muslim 1452b
...There was revealed in the Holy Qur'an ten clear sucklings, and then five clear (sucklings).
Sahih Muslim 1452a
'A'isha (Allah be pleased with, her) reported that it had been revealed in the Holy Qur'an that ten clear sucklings make the marriage unlawful, then it was abrogated by five sucklings and Allah's Apostle (ﷺ) died and it was before that time (found) in the Holy Qur'an (and recited by the Muslims).
Vipi Maulamaa wanasemaje kuhusu hii Aya ya.
Sucklings,
Hii 5 Sucklings
 
Vipi Maulamaa wanasemaje kuhusu hii Aya ya.
Sucklings,
Hii 5 Sucklings
Wanatofautiana maoni,
Ila aisha alikuwa mjanja kawapanga dada zake mlangoni ndio wafanye sucklings
..... A'isha umm al-muminin sent him away while he was being nursed to her sister Umm Kulthum bint Abi Bakr as-Siddiq and said, "Suckle him ten times so that he can come in to see me."
Salim said, "Umm Kulthum nursed me three times and then fell ill, so that she only nursed me three times. I could not go in to see A'isha because Umm Kulthum did not finish for me the ten times." Book 30, Hadith 7
 
Kwa hiyo unakiri leo koran ina maneno ya Muhammad pia au?
EMBU weka ushahidi allah kamwambia muhammad awaombee , maana kwenye aya hakuna
30. Na Mayahudi wanasema: Uzeir ni mwana wa Mungu. Na Wakristo wanasema: Masihi ni mwana wa Mungu. Hiyo ndiyo kauli yao kwa vinywa vyao. Wanayaiga maneno ya walio kufuru kabla yao. Mwenyezi Mungu awaangamize! Wanageuzwa namna gani hawa!
Wapi nimekiri hilo ? Husomi ninachokiandika ?

Hapo Mtume amenukuu maneno kama yalivyo.

Hujawahi kuona aya katika Qur'aan inamzungumzia Mtume kabisa ila anaewasilisha aya hiyo ni Mtume mwenyewe ?

Soma mfano wa aya hii :

MWENYEZI MUNGU amekwisha sikia usemi wa mwanamke anaye jadiliana nawe juu ya mumewe, na anamshitakia Mwenyezi Mungu. Na Mwenyezi Mungu anayasikia majibizano yenu. Hakika Mwenyezi Mungu ni Mwenye kusikia, Mwenye kuona. (Al-Mujaddallah : 1)

Hii ndiyo Qur'aan maneno ya Allah,mtume anayasema kama alivyoteremshiwa bila kupunguza wala kuongeza. Ukiangalia au kusoma sababu ya kushuka aya hiyo ni tukio la mwanamke aliyeitwa Khawlah bint Thaalab alipoenda kumshtakia mumewe wa Mtume wa Allah. Ndiyo aya ikashuka ikisema hivyo.

Kwahiyo maneno ni ya Allah anaye yawasilisha ni Mtume ni kama ilivyo kwa Taurati,Zaburi, Injili na Qur'aan.
 
Wapi nimekiri hilo ? Husomi ninachokiandika ?

Hapo Mtume amenukuu maneno kama yalivyo.

Hujawahi kuona aya katika Qur'aan inamzungumzia Mtume kabisa ila anaewasilisha aya hiyo ni Mtume mwenyewe ?

Soma mfano wa aya hii :

MWENYEZI MUNGU amekwisha sikia usemi wa mwanamke anaye jadiliana nawe juu ya mumewe, na anamshitakia Mwenyezi Mungu. Na Mwenyezi Mungu anayasikia majibizano yenu. Hakika Mwenyezi Mungu ni Mwenye kusikia, Mwenye kuona. (Al-Mujaddallah : 1)

Hii ndiyo Qur'aan maneno ya Allah,mtume anayasema kama alivyoteremshiwa bila kupunguza wala kuongeza. Ukiangalia au kusoma sababu ya kushuka aya hiyo ni tukio la mwanamke aliyeitwa Khawlah bint Thaalab alipoenda kumshtakia mumewe wa Mtume wa Allah. Ndiyo aya ikashuka ikisema hivyo.

Kwahiyo maneno ni ya Allah anaye yawasilisha ni Mtume ni kama ilivyo kwa Taurati,Zaburi, Injili na Qur'aan.
SaWa Ni maneno ya Allah na anaomba mwenyewe Mungu awaangamize wayahudi na wakristo, ndio point yetu ilipo
 
Ulianzishwa na Paulo na haukuwepo kipindi cha nabii Issa (Yesu).
Unatakiwa ukiongea kitu weka na reference , angalia ninapo weka claim lazima na reference iwepo ndio maana unaona waislamu humu wananiogopa maana naweka maandiko Yao , wenyewe wanapenda mtu ambae hajui kabisa
 
Ulianzishwa na Paulo na haukuwepo kipindi cha nabii Issa (Yesu).
Alafu bado una deni la swali langu, Muhammad alikufa Aya za kunyonyesha mtu mzima Allah Ali obligate kutoka 10 kwenda 5 badae tunaona kwenye Koran hazipo nani alizifuta?
 
SaWa Ni maneno ya Allah na anaomba mwenyewe Mungu awaangamize wayahudi na wakristo, ndio point yetu ilipo
Allah haombi. Jambo ambalo msilo lijua na huenda sababu hamsomi. Aya nyingi katika Qur'aan zimeshuka kulingana na matukio,mfani wa aya niliyo kunukulia hapo juu. Ilivyoshuka ikatoa muongozo na kile kikicho jiri.

Ndiyo maana tunapofasili aya huwa tunaangalia sababu ya kushuka kwa aya,tunaangalia Mtume aliwaelezea vipi aya hiyo maswahaba zake na maswahaba zake waliifanyia kazi vipi aya husika na haya yote yamedhibitiwa. Kwahiyo Mtume anapoletewa aya analetewa kama ilivyo na anaiwasilisha kama ilivyo.

Kwahiyo hicho kilicho kuja ni maneno ya Allah na Allah haombi na unatakiwa urejee ujue sababu ya kushuka kwa aya hiyo.

Ndiyo maana huwa tunawauliza mmesoma tafsiri za Qur'aan sababu Tafsiri nyingi huwa zinatuonyesha sababu za kushuka kwa aya husika.
 
Allah haombi. Jambo ambalo msilo lijua na huenda sababu hamsomi. Aya nyingi katika Qur'aan zimeshuka kulingana na matukio,mfani wa aya niliyo kunukulia hapo juu. Ilivyoshuka ikatoa muongozo na kile kikicho jiri.

Ndiyo maana tunapofasili aya huwa tunaangalia sababu ya kushuka kwa aya,tunaangalia Mtume aliwaelezea vipi aya hiyo maswahaba zake na maswahaba zake waliifanyia kazi vipi aya husika na haya yote yamedhibitiwa. Kwahiyo Mtume anapoletewa aya analetewa kama ilivyo na anaiwasilisha kama ilivyo.

Kwahiyo hicho kilicho kuja ni maneno ya Allah na Allah haombi na unatakiwa urejee ujue sababu ya kushuka kwa aya hiyo.

Ndiyo maana huwa tunawauliza mmesoma tafsiri za Qur'aan sababu Tafsiri nyingi huwa zinatuonyesha sababu za kushuka kwa aya husika.
Sawa ni maneno ya Allah na Allah anasema mwenyewe moja kwa moja , mwenyezi Mungu awaangamize

Kumbuka Aya maneno Allah aliyatamka kabla ya muhammad kuwepo
 
Salam wanaJF!

Mwanamama Karen Armstrong alifanya utafiti wa miaka mingi kuhusu chimbuko na mabadiliko ya dhana ya Mungu [Ieleweke ni dhana ya Mungu sio Mungu - Concept of God and Not God]. Baada ya utafiti huo akaja na kitabu alichokiitwa HISTORY OF GOD: THE 4,000 YEARS QUEST OF JUDAISM, CHRISTIANITY AND ISLAM. Kitabu hiki chenye umri wa takribani miaka takribani 30 sasa, kimeelezea ni kwa vipi dhana ya Mungu imekuwepo toka dunia ya kale, na imekuwa ikibadilika kila nyakati zinapobadilika. Na pili ameelezea chimbuko la dini kuu tatu duniani za Uyahu6, Ukristo na Uislam. Hapa ameelezea mazingira yalipoibukia dini hizi na mapokeo yake.

Katika mfululizo wa makala hizi ni simulizi kutoka kwenye kitabu hicho. Kila siku nitaweka sehemu moja ili tupate kuelewa taratibu na tuweze kujadili. Elimu za falsafa na dini huwa zinahitaji mwendo wa taratibu.

SEHEMU YA I - KUTEREMSHWA QURAN.

Katika mwaka 610 katika jiji la kibiashara lilokuwa na changamoto nyingi wakayi huo la Meka katika mji wa Hijjaz, mfanyabiashara wa kiarabu Ambaye pengine hajawahi kusoma Biblia, wala pengine alikuwa hajawahi kuwasikia kina Yeremia, isaya wala ezekiel alikuwa na mapitio kama yao. Kila mwaka, Muhamad Ibin Abdallah, kutoka kabila la Kureshi alikuwa akiipeleka familia yake kwenye milima ya Hijra iliyopo nje ya mji wa Maka kwa ajili ya kufanya maombi kipindi cha mwezi wa Ramadhani. Huu ulikuwa ni utamaduni wa jamii ya waarabu. Muhamad alikuwa akimuomba Mungu wa Juu wa Waarabu, na kutoa sadaka na chakula kwa masikini waliokuja kumtembelea kipindi hicho. Pengine alitumia muda wake kutafakari juu ya yanayojiri Katika mji wa Meka. Haya yanathibitishwa na maisha yake ya baadae wakati akiwaza jinsi gani ya kuiweka sawa jamii yake ya Maka, ambayo licha ya mafanikio yake ya sasa, imekuwa ikipitia matatizo mengi.

Vizazi viwili nyuma, watu wa Kuresh walipitia maisha ya kuhamahama kutafuta chakula katika nyika za uarabuni kama zilivyo jamii zingine za wabeduni. Katika karne ya sita mwishoni jamii hii ilibadilika na kuwa eneo muhimu kwa waarabu baada ya mafanikio yake makubwa kibiashara. Matajiri wengi walijitokeza na hali ya maisha iliboreka. Lakini mfumo wa maisha wa mila za asili za waarabu, uliondolewa na ubepari. Watu wengi walikuwa na wasiwasi na hatima yao chini ya mfumo katili wa ubepari, hivyo Muḥammad aliona ipo haja ya kuwa na itikadi mpya itakayorekebisha matatizo yanayojitokeza huko Maka.

Kwa mazingira yale, ufumbuzi wowote wa kisiasa ilikuwa ni lazima uwe na asili/sura ya kidini. Muhamad alitambua kuwa pesa ndio inakuwa mbadala wa Dini kwa Wakureshi. Hofu kubwa ya Muhamad ni kuwa, pesa iliyopokwa wakureshi ilipaswa tu iwaokoe kutoka kwenye madhira ya mfumo wa kubangaiza, Magonjwa na vurugu katika ya jamii ya wabeduni, Pesa sasa inageuzwa kuwa ndio 'msingi wa maisha yao'. Jamii imefanikiwa na kujitosheleza vya kutosha, kiasi cha baadhi ya watu kujiona kwakuwa ni matajiri basi wao wanamaisha ya milele (immortal). Kwa mtazamo wa Muhamad hali hii ya jamii ya wakureshi kujitosheleza (Istaqa), italeta utengano katika jamii yao. Miaka ya nyuma wakati wanaishi Nomadic life, mfumo wa maisha ulikuwa ni jamii kwanza, kisha mtu baadae. Jamii hiyo ilitambua kuwa ili kuishi, basi jamii inategemeana. Hivyo jamii ilipaswa kuwasaidia masikini na makundi yasiyojiweza. Kwa sasa umimi umetawala na kuuondoa umoja wa kijamii na ushindani umeondoa mashirikiano ya jamii. Watu walianza kujenga utajiri bila kujali waqureshi masikini. Kila koo ilipambana dhidi ya koo zingine ili kutengeneza utajiri. Koo za hali ya chini kama ya Hashmi yake Muhamad mwenyewe zilijiona ziko hatarini.

Muhamad aliona kama wakureshi wasipopata mfumo mwingine utaofanya wawe wamoja, basi tamaa ya utajiri utaitawanyisha kabila ya Wakureshi. Jamii zingine za kiarabu za kibeduni katika maeneo ya Hijaz na Najad nao zilikuwa kwenye taharuki. Watu waliishi kwa mapambano na kupigana kati yao ili tu kupata mahitaji ya msingi ya kila siku. Katika kujenga jamii moja, waarabu walikuwa na mfumo waliouita Muruwah, ambao ulitimiza majukumu mengi ya dini. Lakini kwa ujumla, waarabu hawakuwa na muda na dini. Walikuwa ni wapagan waliokuwa wakiamini katika miungu kila mmoja wa kwake nyumbani kwake. Haikuwepo Mfumo au imani moja iliyowaelezea waarabu umuhimu wa Mungu na maeneo matakatifu katika maisha. Hakuwa na ufahamu juu ya maisha baada ya kifo, Ila waliamini kuwa Giza (ambayo inaweza kutafsiriwa kama muda au hatma), ilikuwa ni UKUU(SUPREME). Katika jamii ambayo idadi ya vifo iko juu, Mtazamo huu ulikuwa muhimu.

Jamii za magharibi wanamtazamo mfupi kuhusu Muruwah, lakini kiuhalisia ilimaanisha hamasa ya mapambano, Uvumilivu na ustahimilivu kwenye shida na kujitoa kwa kabila. Mila za Muruwah ziliwataka jamii kuwa watiifu kwa kiongozi wa kabila (sayyid) hata kama maisha yake mwenyewe yako hatarini. Iliwataka jamii wailinde jamii na makundi yaliyo hatarini na pia wailipie kisasi jamii yao inapotendewa uovu. Kuhakikisha kuwa kabila linaendelea, Sayyid aliwagawia sehemu ya utajiri wake kwa watu, na katika mazingira ambayo mtu ameuawa, basi naye Sayyid alimuua mwanafamilia mmoja kutoka familia ya muuaji. Hii ilitokana kuwa ilikuwa ngumu wakati mwingine kumpata muuaji halisi, sababu ya mazingira aliweza kupotea na asijulikane, hivyo hakukua na wajibu wa kumuadhibu muuaji bali mwanafamilia wake.

Sababu ya kutokuwepo kwa utawala mmoja, mapigano yalikuwa ndiyo njia ya kuhakikisha usalama wa jamii. Hakukua na mfumo wa ulinzi ambao unaweza ufananisha na majeshi ya polisi wa leo. Kama chief akishindwa kupigana vita, basi hakuna mtu atayemuheshimu na anaweza jichukulia sheria mkononi na chochote kisimtokee. Hivyo kabila moja kupigana na jingine ilikuwa ndio mfumo wa kutafuta haki.

Licha ya mapungufu hayo ya ukatili, mfumo wa Muruwah ulikuwa na faida zake. Ulisisitiza usawa na matumizi sawa na bidhaa. Pengine katika jamik ambayo biadhaa ni adimu, basi usawa wa matumizi ya bidhaa ni muhimu. Mafunzo ya upeo na ukarimu zilikuwa ni mila muhimu na zikawafundisha Waarabu kutozingatia kesho yake. Mila hizi zilikuja kuwa za muhimu sana kwenye uislam, kama tutavyoona huko mbele. Mfumo huu uliwafaa waarabu kwa muda mrefu, ila kufikia karne ya 6, hakuweza kuendana na mazingira ya kisasa. Wakati wa kipindi cha mwisho cha zama kabla ya Uislam, waarabu wanakiita Jahiliyyah (zama za giza), watu wengi hawakuwa na amani pia walikuwa na mashaka juu ya imani zilitawala wakati huo. Kipindi hiki, Waarabu walikuwa wamezungukwa na dola kubwa mbili, Sassanid Persia na Byzantium.

Wafanyabiashara waliokuwa wakienda miji ya syria na iraq ya sasa, ndio waliokuwa chachu ya maendeleo kwani walikuwa wakija na hadithi na mawazo kuhusu ustaarabu waliokuta huko. Lakini vurugu za mara kwa mara, ziliwazuia waarabu kuwa jamii iliyo settle licha ya kuapata ideas mpya kutoka kwenye jamii zilizosettle za wasyria na wairaq. Hawakua na muda wa kuungana na kutengeza maisha yao kwa ujumla. Hivyo hata maeneo yenye rutuba hasa Uarabuni ya kusuni(Yemen ya leo), iliyokuwa na faida ya kijiografia ya mvua za Monson, ikachukiliwa na wapersia. Kuja kwa ideas mpya, kulihatarisha mila za kijama za jamii. Mfano, dhana ya kikristo ya Maisha baada ya kifo ambayo inasisitiza kuwa kila mmoja atawajibika kwa matendo yake, inaashirisha kila mtu kutengeneza maisha yake, na sio jamii kwa pamoja. Muhamad alikuwa ni mtu mwenye akili ya juu sana, (exceptional genius), hadi anafariki mwaka 632 alikuwa amefanikiwa kuziunganisha kabila za kiarabu Kuwa jamii moja iliyoungana (Ummah). Alifanikiwa kuweka imani ambayo kiupekee ilifit mila za waarabu na kuweza kuwapa hamasa kubwa ya maisha na kufanikiwa kutengeneza dola kubwa ya kiislam, Iliyoanzia Himalayas to the Pyrenees.

Na kujenga utamaduni/ustaarabu wa pekeee. Wakati Muhamad akiwa milimani akisali, ni dhahiri hakutegemea kufikia mafanikio makubwa kiasi hicho. Kama walivyokuwa waarabu wengine, Muhamad alimuamini al-Lah, jina la Mungu wa Juu wa waarabu toka kale. Neno hili lilitafsirika kuwa ni Mungu. Na Mungu huyu alikuwa na ufanano na Mungu aliyeabudiwa na wayahudi na Wakristo. Aliamini kuwa Mtume wa Mungu huyo ndiye atakaye wakomboa jamii yake, lakini kamwe hakuwaza kuwa yeye ndiye angekuwa mtume huyo. Jamii za waarabu kwa muda mrefu hakufurahishwa kuwa Mungu wao, al-Lah hajatuma mtume wake kwao wala kuwapa maandiko matakatifu, licha ya kuwa kwa miaka yote toka kale walikuwa na madhabahu wanayomuabudia. Hadi karne ya 7, waarabu wengi waliamini kuwa Kabah, dhabahu kuwa lenye umbo la Mche mraba, lililopo katikati ya mji wa Maka toka kale, lipo pale kwa ajili ya al-Lah, licha ya kuwa mungu wa watu wa Nabate aliyeitwa Hubal ndiye aliyekuwa dhabahu lake.

Kabah lilikuwa ni eneo la ufahari wa watu wengi wa Maka na ndiyo lilikuwa eneo takatifu Muhimu zaidi kwa watu wa Urabuni. Kila mwaka watu kutoka maeneo mbalimbali ya kuzunguka uarabuni walienda pale kwa ajili ya kuhiji. Na kufanya Ibada za kitamaduni kwa siku kadhaa. Eneo lote takatifu la kuzunguka kabah lilikuwa ni marufuku kufanyia mapigano, hivyo maeneo hayo na viunga vyake, biashara zilifanyika sana kwa kujua kuwa Chuki za kikabila maeneo yale zinasitishwa na kuzuia vurugu. Wakureshi walijua, bila maeneo hayo kuwa matakatifu, kamwe wasingefanikiwa kwenye ufanyaji biashara, hivyo ufahari wao ulitokana na eneo hilo hivyo walihitaji kulilinda eneo hilo takatifu la kale. Licha ya kuwa al-Lah amewapa upendeleo maalum wao wakureshi, lakini hakuwatumia mtume kama ilivyokuwa kwa Abraham, Moses au Yesu na Pia waarabu hawakuwa na maandiko matakatifu yaliyopo kwa lugha yao wenyewe. Hivyo walijihisi unyonge mara kwa mara wanapokutana na wafanyabiashara wa kiyahudi au kikristo waliokuwa wakiwadhihaki kuwa Watu washenzi ambao hawajapata ufunuo wa Mungu. Waarabu waliwaheshimu watu hawa kwa kuwa na elimu ambayo wao hawana.

Wakristo na wayahudi walikuwa wameendelea zaidi katika ukanda huo(kwenye masuala ya kidini), Lakini mtazamo wa waarabu ni kuwa ukristo na uyahudi ulikuwa ni bora tu dhidi ya miungu iliyopo maeneo yao huko. Kulikuwa na baadhi ya makabila ya wayahudi waliokuwa na mashaka na ukazi wao huko Yathrib(madina) na Fadak, na baadhi ya waliokuwepo kwenye eneo la kaskazini mwa Mpaka wa Persian na Byzantine Empire walibadili dini kwenye kwenye ukristo. Lakini wabeduni walikuwa na msimamo na waliojitegemea, Na hawakutaka kuwa chini ya utawala wa dola kubwa kama wenzao wa Yemen, na walijua fika dola zote za persian na Byzantine walitumia dini za uyahudi na ukristo kueneza tawala na mila zao kwenye ukanda huo. Pia walikwisha choka na migawanyiko ya kitamaduni, hivyo hawakutaka kabisa itikadi ya kigeni na inayofunzwa kwa lugha na tamaduni za kigeni.

Baadhi ya waarabu walijaribu kubuni imani ya Mungu mmoja ambayo haitakuwa na msukumo wa kibepari ndani yake. Kama ambavyo mwanahistoria wa Kipalestine wa Karne ya tano, Sozomenus anavyoeleza kuwa, Baadhi ya waarabu wa syria waligundua kitu kilichoitwa dini halisi ya Abraham, ambaye aliishi kabla Mungu hajaleta Torati wala Injili, Ambaye kwa hivyo hakuwa Myahudi wala Mkristo. Muda mchache Kabla Muhamad hajapokea wito wake wa kitume, mwandishi aliyemuelezea aitwa Muhamad ibin Ishaq, Waquresh wanne Wa maka, waliamua kutafuta dini halisi ya Abraham (Hinifiyyah). Baadhi ya waandishi wa kimagharibi, wanadai Kuwa suala la Hinifiyyah ni la kubuni na ilikuwa ni ishara ya kutapatapa kwa jamii hiyo ya zama za giza (jahiliyyah) Lakini ina msingi wake.
Mahaniffs watatu, hawa wanajulikana kama ni waislam wa mwanzo. Ubaydallah ibn Jahsh aliyekuwa binamu wa Muhammad, Waraqa ibn Nawfal ambaye baadae alibadili dini na kuwa mkristo, Zayd ibn Amri mjomba wake Umar ibn al-Khattab, washirika wa karibu wa Muhamad na aliyekuwa kiongozi wa pili wa dola ya kiislam(khalifa). Kuna hadithi kuwa siku moja kabla ya ufunuo kwa Muhamad, Zayd alipowakuta waquresh kwenye kaaba, alitamka maneno kuwa '....laiti angejua Mungu anaabudiwa vipi, basi angemuabudu, lakini kwa bahati mbaya hajui'.

Tamanio hili la kupata ufunuo, lilijibiwa usiku wa 17 wa Mwezi wa Ramadhani mwaka 610 katika mlima Hira. Alipokuwa amelala Muhamad alistuka usingizini na kuhisi kuwa amezingirwa na uwepo wa utakatifu katika eneo hilo. Baadae Alilielezea tukio hili lisiloelezeka kwa urahisi. Akitumia lugha ya kiarabu. Alieleza kuwa Malaika alijitokeza na kumpa maagizo kuwa, 'SOMA'[IQRA]. Kama ilivyokuwa kwa mitume ya kiyahudi waliokuwa wagumu kusoma maneno ha Mungu, naye Muhamad alikataa. Akijibu kwa 'Mimi siwezi kusoma'. Hakuwa Kahin, wasoma ushairi wa kikureshi. Anasema Muhamad kuwa malaika alimbana mwili kiasi cha kuhisu Pumzi inamtoka, Na kisha Malaika akamuachia na kumuambia tena IQRA. Alikataa na malaika akambana tena kiasi cha kufika mwisho wa uvumilivu. Mara hiyo ya tatu, Muḥammad alipata maneno aliyohisi tu yanatoka mdomoni kwake akiyatamka.

Soma kwa jina la Mola wako Mlezi aliye umba,
Amemuumba binaadamu kwa tone la damu,
Soma! Na Mola wako Mlezi ni Karimu kushinda wote!
Ambaye amefundisha kwa kalamu.


Maneno ya Mungu yakatamkwa kwa mara ya kwanza katika lugha ya kiarabu na maandiko haya yakaitwa Quran: Usomaji.

Kesho tutaendelea na yaliyojiri baada ya Muḥammad kuteremshiwa Quran.
kwa akili ya kawaida tu, Mungu yupo na atahukumu siku atakayo ona inafaa (siku ya kiama)
Yaaani wewe unaonaje mtu amdhulumu mtu mwingine pengine masikini kabisa mali yake mf: shamba lake, mahakamani, Kuiba nk
halafu iishie hapo tu?? lazima atakuwepo hakimu wa kuhakikisha aliyedhulumu anajutia hicho kitendo na huyo ndio Mungu.

Mfano mwingine: Mtu apewe hela za msaada za kuchimba kisima mahala pasipo kuwa na maji au Pengine mtu ana duka lake ila anapunja watu kwenye mizani kwa maksudi, haiwezi kabisa kuishia hapo? lazima ipo siku atahukumiwa kwa hayo makosa ya wizi;
na mifano mingine mingi ambayo sisi hapa duniani tumeshindwa kutoa haki; hivyo hiyo haki ataitoa Mungu mwenyewe siku ya kiama
 
Unatakiwa ukiongea kitu weka na reference , angalia ninapo weka claim lazima na reference iwepo ndio maana unaona waislamu humu wananiogopa maana naweka maandiko Yao , wenyewe wanapenda mtu ambae hajui kabisa
Kwanza suala la rejea kwangu siyo tatizo na ni rahisia sana,lakini kwa upande wako unatoa rejea si kwa hoja sahihi hili ni tatizo.

Rejea vitabu vifuatavyo.

1. Al Jawab sahihi liman badala dini al Masihi (Jibu lililo kuwa sahihi kwa yule aliyeibadilisha dini ya Masihi) kitabu hiki kimeandikwa na Shaykhul Islamu Ibn Taymiyyah.

2. Al Adiyaan,wa al firqa wa al Ahzab wa Al Madhahab al Mu'aswira hiki kitabu kinaelezea historia ya dini zote,makundi na madhehebu ya sasa.

3. Dini ya kweli ya Mwenyezi Mungu muandishi Dr. Bilal Philips.
 
Alafu bado una deni la swali langu, Muhammad alikufa Aya za kunyonyesha mtu mzima Allah Ali obligate kutoka 10 kwenda 5 badae tunaona kwenye Koran hazipo nani alizifuta?
Hili nilishakujibu sijaacha kiporo.

Niwekee hizi aya 10 na uniwekee hizo aya 5 ambazo zilikuwepo na sasa hazipo.
 
9 Reactions
Reply
Back
Top Bottom