Umeisoma vzr hy aya???
- Mtu ambae hana sadaka muhammad alikuwa anamnyima huduma au?
- Koran 58:12. Enyi mlio amini! Mnapo sema siri na Mtume, basi tangulizeni sadaka kabla ya kusemezana kwenu.
Kwanza maana ya sadaka sio pesa ni chochote ulichonacho .
- Acha hasira na jibu kwa nini allah alianzisha kutoa pesa kwanza ndio huduma ifuate?
- Koran 58:12. Enyi mlio amini! Mnapo sema siri na Mtume, basi tangulizeni sadaka kabla ya kusemezana kwenu.
Kwanza maana ya sadaka sio pesa ni chochote ulichonacho .
- Acha hasira na jibu kwa nini allah alianzisha kutoa pesa kwanza ndio huduma ifuate?
- Koran 58:12. Enyi mlio amini! Mnapo sema siri na Mtume, basi tangulizeni sadaka kabla ya kusemezana kwenu.
Kifupi tu! hiyo Median ilikuwa ni sehemu ya Ethiopia ya leo, hii nchi ilitambaa mpaka India, na haikuwahi tawaliwa! ramani ilibadirishwa baadae sana! ajili ya vita za mara kwa mara!Hivi unajua kuwa baada ya moses(hakuwahi kuwepo)kumuua mtumishi wa farao, alikimbilia uarabuni, na huko alioa binti wa kiarabu,, na kwamba babamkwe wa moses alikuwa ni kuhani huko na ndie aliemfundisha moses dini,
Chimbuko la kumuabudu mungu wa. Kipagani aitwae Yahwew ni uarabuni katika jamii ya median,
Median alikuwa ni mtoto wa Abraham, lakini aliezaa na mke wake wa tatu alieitwa Ketura,,
Jamii ya median, iliakaa maeneo ambayo leo ni saudi arabia,
Lakini wamedian haohao ndo walimuokoa yusufu baada ya nduguze kutaka kumuua na kumtupa shimon,
Msafara wa wamedian ndo ulimpeleka yusuph misri, na huko akawa mtumishi wa farao(finction).
Ukipiga rivasi nyuma hadi enzi za Abraham, utaona, Abrahamu alikuwa ni mwarabu wa huko mesopotamia, katika mji ulioitwa Ur.
Baadae alihamia caanan, huko alikuta jamii ya huko inaabudu mungu aitwae El.
Abraham alikuwa introduced katika ibada za kumuabudu El na mtu alieitwa Melkizedeki,, (mfalme Mtukufu),huyu alikuwa ni mfalme wa wafilist aliekuwa akitawala maeneo ya Urusalem(Jerusalem) ya leo. Huyu king ndie alimu introduce Abrahamu kumuabudu mungu alieenda kwa jina El..
Lakini chimbuko la jina Jerusalem ni jina Ursalem,, yaani mji wa salem,
Salem au Salum alikuwa ni mungu pia wa kipagani wa eneo hilo.
Lakini the most deity aliekuwa akiabudiwa maeneo hayo ya caanan, alikuwa ni mungu, El,, hata kabla Abraham hajahamia na kuweka makazi yake Caanan...
Uzeir alikua ni mja katika wayahud kuna wengine wanasema alikua nabii na wengine wanasema alikua mje mwema na katika muujiza ambao ilulimtokea Uzeir ni kule kulala kwake kwa muda wa miaka 100 alipoamka hakuzeeka yaani alikua vile vile kwahiyo mayahud wakasema haiwezekani kwa binadamu kulala kipindi kirefu hvy wakamuita mwana wa Mungu kama wakristo wanavyosema haiwezekani kwa mtoto kuzaliwa bila ya baba isipokua baba yake atakua Mungu.9:30 - Na Mayahudi wanasema: Uzeir ni mwana wa Mungu. Na Wakristo wanasema: Masihi ni mwana wa Mungu. Hiyo ndiyo kauli yao kwa vinywa vyao. Wanayaiga maneno ya walio kufuru kabla yao. Mwenyezi Mungu awaangamize! Wanageuzwa namna gani hawa!
{1. Hivi hayo maneno ya Qurani hapo ni nani anaongea?
Nimejitahidi kuwauliza wenye Dini yao hawajawahi kunijibu.
Pia kuna maswali mengi Sana hapo.
Na huyo Uzeir ni nani?
Na ni wapi Wayahudi walisema kuwa Uzeir ni Mwana wa Mungu?
Hao walio tangulia kukufuru kwa Kuwaita Uzeir na Masihi kuwa ni Wana wa Mungu kabla ya Wayahudi na Wakristo ni Akina Nani?
Na huyo anayemwomba Mwenyezi Mungu awaangamize Wayahudi na Wakristo kwa Kuwaita Uzeir na Masihi kuwa ni Wana wa Mungu ni nani? }
Unafahamu nini kuhusu hii
Aya ?
Labda kuna sehemu hujasoma vzr hii unayoiongelea kwa kiswahili chetu inaandikwa Madyani a hiyo unaoisemea iko saud arabia ni madina wazungu wanaadika medina hvyo ni sehemu mbili tofautiHivi unajua kuwa baada ya moses(hakuwahi kuwepo)kumuua mtumishi wa farao, alikimbilia uarabuni, na huko alioa binti wa kiarabu,, na kwamba babamkwe wa moses alikuwa ni kuhani huko na ndie aliemfundisha moses dini,
Chimbuko la kumuabudu mungu wa. Kipagani aitwae Yahwew ni uarabuni katika jamii ya median,
Median alikuwa ni mtoto wa Abraham, lakini aliezaa na mke wake wa tatu alieitwa Ketura,,
Jamii ya median, iliakaa maeneo ambayo leo ni saudi arabia,
Lakini wamedian haohao ndo walimuokoa yusufu baada ya nduguze kutaka kumuua na kumtupa shimon,
Msafara wa wamedian ndo ulimpeleka yusuph misri, na huko akawa mtumishi wa farao(finction).
Ukipiga rivasi nyuma hadi enzi za Abraham, utaona, Abrahamu alikuwa ni mwarabu wa huko mesopotamia, katika mji ulioitwa Ur.
Baadae alihamia caanan, huko alikuta jamii ya huko inaabudu mungu aitwae El.
Abraham alikuwa introduced katika ibada za kumuabudu El na mtu alieitwa Melkizedeki,, (mfalme Mtukufu),huyu alikuwa ni mfalme wa wafilist aliekuwa akitawala maeneo ya Urusalem(Jerusalem) ya leo. Huyu king ndie alimu introduce Abrahamu kumuabudu mungu alieenda kwa jina El..
Lakini chimbuko la jina Jerusalem ni jina Ursalem,, yaani mji wa salem,
Salem au Salum alikuwa ni mungu pia wa kipagani wa eneo hilo.
Lakini the most deity aliekuwa akiabudiwa maeneo hayo ya caanan, alikuwa ni mungu, El,, hata kabla Abraham hajahamia na kuweka makazi yake Caanan...
Kwa hiyo unakiri leo koran ina maneno ya Muhammad pia au?Maneno ya Allah hayo anayatamka Mtume wa Allah kwa maana awaombee maangamivu walio kufuru.
Kwa nini watangulize kwanza , kama mtu hana? inamaana huduma ya muhammad ya sirini kaikosaKwanza maana ya sadaka sio pesa ni chochote ulichonacho .
Pia hii ni hususia(kitu maalumu) alichopewa mtu maana ukienda kusemezana nae umpe sadaka aya haikuja kwa mtu mwingine yyte baada yake si Khalifa wala imamu baada yake ambae amepewa ruhusa ya hii .
Tatu katika sifa za Mtume alikua hali sadaka atapokea na kuigawa wanao stahiki lakini yy hali Mtume alikua anakula zawadi na sio sadaka.
hujapigwa umejipiga!! kwa nini uwafuate wao? kwani umelazimishwa? una utashi wa kufuata yako!! kiherehere chenu kwenda huko kupata bakshishi ya wali! Birian!Biblia imeweka wazi kwamba Abraham alifundishwa, kumuabudu El na king Melkizedek,, El alikuwa ni pagan deity,, hii maana yake Abraham wakati anatoka Ur hakuwa anajua mungu alienza kuabudu baada ya kufika caanan , hivyo kiufupi haya mambo ya dini tumepigwa, ,
Mwenye dunia yupo, ila hana dini,, dini yake ni viumbe wake wawe wanyenyekevu towarrds him/her/it
Kumbe hata aya yenyewe hujaimalizia imalizie kuisoma kisha ujeKwa nini watangulize kwanza , kama mtu hana? inamaana huduma ya muhammad ya sirini kaikosa
Koran 58:12. Enyi mlio amini! Mnapo sema siri na Mtume, basi tangulizeni sadaka kabla ya kusemezana kwenu.
Kisha uisome hy aya inayofuata kisha tuendeleze mjadalahujapigwa umejipiga!! kwa nini uwafuate wao? kwani umelazimishwa? una utashi wa kufuata yako!! kiherehere chenu kwenda huko kupata bakshishi ya wali! Birian!
Isome aya inayofuata kishatendeleze mjadala kama jina la suraKwa nini watangulize kwanza , kama mtu hana? inamaana huduma ya muhammad ya sirini kaikosa
Koran 58:12. Enyi mlio amini! Mnapo sema siri na Mtume, basi tangulizeni sadaka kabla ya kusemezana kwenu.
Yesu wa Uarabuni anaelezewa alikua ni Mtume mtukufu miongoni mwa Mitume wa tano bora na mama yake ni mwanamke mtukufu zaidi ulimwenguni kuliko wanawake wote.Kitabu hicho kinasema ukiona mambo huyelewi uliza vitabu vilivyokuwepo kabla yake yaani injili, zaburi na torati.I injili hasa ya Yohana iko wazi kuhusu uungu wa Yesu. Kwangu Mimi issa bin Mariam ni distorted explanations of Jesus Christ of the Bible. Ni sawa ikiandikwa Hadith ya Nyerere Nigeria inayosema alizaliwa dar, akafia muhimbili. Ila ukija Tanzania utakutana na maandiko yanasema wazi kazaliwa mwitongo na kafia st Thomas UK. Ntawaamini wayahudi zaidi ya Yesu wa uarabuni.
WEKA text usiweke picha,Isome aya inayofuata kishatendeleze mjadala kama jina la suraView attachment 2020699
Ulikua unataka asemajeWEKA text usiweke picha,
58:13. Mnachelea kutanguliza hiyo sadaka kabla ya kusemezana kwenu? Ikiwa hamkufanya hayo, na Mwenyezi Mungu akapokea toba yenu, basi shikeni Sala, na toeni Zaka, na mt'iini Mwenyezi Mungu na Mtume wake. Na Mwenyezi Mungu anazo khabari za mnayo yatenda.
waislamu walipo ona wanatakiwa kutoa mali kwanza ndio wamuone Muhammad wakagoma , ndio allah akawaambia aya ya 13
Tafsîr Ibn ‘Abbâs When they stopped speaking with the Prophet (pbuh) because of the required almsgiving involved
hiyo aya anasisitiza watoe sadaka kwanza, kama hamwezi hakuna huduma ya sirini na muhammad, nabidi ushike sala na utoe zaka
Nani katamka haya maneno , kama ni allah kwanini anasema mtiini Mwenyezi Mungu ?
Ndg mbona aya inajieleza hata tafsiri haihitaja sidhana kama unahitaji ufafanuzi aya imesema kama huna chakutoa basi shikeni sala na sadaqa hijalazimisha kutoa ila imesisitiza kwa kusema huo ni usafi kwenuWEKA text usiweke picha,
58:13. Mnachelea kutanguliza hiyo sadaka kabla ya kusemezana kwenu? Ikiwa hamkufanya hayo, na Mwenyezi Mungu akapokea toba yenu, basi shikeni Sala, na toeni Zaka, na mt'iini Mwenyezi Mungu na Mtume wake. Na Mwenyezi Mungu anazo khabari za mnayo yatenda.
waislamu walipo ona wanatakiwa kutoa mali kwanza ndio wamuone Muhammad wakagoma , ndio allah akawaambia aya ya 13
Tafsîr Ibn ‘Abbâs When they stopped speaking with the Prophet (pbuh) because of the required almsgiving involved
hiyo aya anasisitiza watoe sadaka kwanza, kama hamwezi hakuna huduma ya sirini na muhammad, nabidi ushike sala na utoe zaka
Nani katamka haya maneno , kama ni allah kwanini anasema mtiini Mwenyezi Mungu ?
Ndio point yangu kama huna umeambiwa uende ukashike sala , huwezi kumuona Muhammad na kuongea siri zakoNdg mbona aya inajieleza hata tafsiri haihitaja sidhana kama unahitaji ufafanuzi aya imesema kama huna chakutoa basi shikeni sala na sadaqa hijalazimisha kutoa ila imesisitiza kwa kusema huo ni usafi kwenu