Chief Godlove apata mpinzani

Chief Godlove apata mpinzani

Mfano kama hizo dolari, ni biashara gani kafanya akalipwa dolari zote kwa pamoja?
Duh, hivyo ni viwango vya cartel huko mexico, au akaamka asubihi kazikuta ?
 
Kipindi cha mwendazake watu walikuwa wanaficha sana cash kwa kuogopa kuhojiwa source of funds, na ilikuwa ngumu kuona mtu akionyesha cash nyingi mitandaoni. Sasa hivi naona imekuwa kawaida, watu kupiga picha mihela mingi na kupost, je mamlaka siku hizi hazihoji tena chanzo cha mapato?
Ukiona mtu analala au kujimwagia pesa hyo hamnazo
Pesa hazioneshwi

Ova
 
Huu utapeli mzuri sana. Unalipisha watu ada kuwa utawaunga kwenye ibada ya shetani wapige pesa. Zile ada ndiyo unaenda kutangaza kuwa ushahidi wa mafanikio yako. Gen Z wanajaa king kwa wingi.
 
IMG_9089.jpeg
 
Back
Top Bottom