Wanawazulumu wasanii na kuwaonea.Ngwea naye ilikuwa hivihivi,wanashushwa kimziki na hawa jamaa kwa makusudi pale ambapo hawato tii matakwa yao.Matokeo yake mtu anakuwa na stress na kuishia huko
Kuna tetesi kuwa Ruge na Jo Kusaga ndiyo baba zake ila wanagombana kwani hawajuwi nani ndiyo baba. Ila inashangaza kwanini wanamwacha mtoto wao anakula poda.