katoboa pua wamemtema
katoboa pua wamemtema
Eatv imemtema kutokana na uswahili wake..kipindi kina maudhui mazuri lakini alishindwa kukidhi mahitaji..alijisahau akaona kama eatv wanamkera wakati its a reality tv show..wakamtupa kuleee..
Eh kumbe kipindi cha lens ma-lions kishaanza?
katoboa pua wamemtema
katoboa pua wamemtema
katoboa pua wamemtema
Punga ndio bwabwa eeh?punga lile!
Sasa hivi umeshapata jibu i guess!!Kile kipindi cha chid benz show EAST AFRICA TV,Kimeishia wapi? Au mkataba umeisha? Coz naona siku ya alhamisi ambapo ndio kipindi chake kilikuwepo,kimewekwa kipindi kinaitwa mboni,je kuna mwenye info zozote hapa?