SubhanaAllah! Kweli hujafa hujaumbika![]()
Hujafa hujaumbika...Mungu hadhihakiwi na uumbaji wake hautukanwi
hujaumbika, hujafaSubhanaAllah! Kweli hujafa hujaumbika
Ngoja afe ili cc tujifunze kutoka kwake maana yy alishindwa kujifunza kutoka kwa mangwea na rayc wanasema tunajifunza kutokana na makosa ila ni ujinga kujifunzia makosa yako mwenyewe RIP!
!
Simuombei mabaya ila kama hatafanya juhudi za haraka aisee tutamzika soon. Hiyo sio kawaida aisee daaah. Sisemi sitakufa ila kwa hali hiyo huyu anko abadili uelekeo haraka
Kumbe afadhali addiction ya jujuKila msanii aliyetumia drugs dunia hii wengi wamekuwa na bad ending vifo vya masikitiko makubwa" Whitney Houston, Amy Winehouse even MJ alikua overdose with drugz, Ngwair, Langa thy die young inasikitisha sana R.I.P,
Ubaya ni kuwa ukishaanza hii kitu ni kama umeanza kutiana ngumu mno kuacha..
#SayNoToDrugs
Haha bora juju unaweza rudisha mikobaKumbe afadhali addiction ya juju![]()
![]()
![]()
![]()