figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,492
- 54,890
MShiriki wa Redds Miss Tanzania 2012, Babylove Kalala, akijarimu kumng'ata nyoka wakati mrembo huyo pamoja na wenzake wanaowania taji hilo walipotembelea eneo la Snake Pak mjini Arusha.mia
Tombolis mbololis is the most dangerous snake in the world, its color varies from pink to black, its size ranges btn 3inches to 10inchs. It usually attack women in bedrooms at the lower abdominal area and causes infammation which lasts for 9months. Some mutants attack from behind, they do so even to men. Boflooooooooooooooooooooo!
MShiriki
wa Redds Miss Tanzania 2012, Babylove Kalala, akijarimu kumng'ata nyoka
wakati mrembo huyo pamoja na wenzake wanaowania taji hilo
walipotembelea eneo la Snake Pak mjini Arusha.mia
snake park is a good place to visit!
snake park is a good place to visit!
Umeona eeeeh!Mkuu huyu nyoka si ndio yule anayevunja ndoa za watu??
Akimaliza kumng'ata Nyoka
Na yeye ajiandae kung'atwa na majaji na mapedeshee
halafu ikawaje?Hako kanyoka hakana sumu, mie nilipiga picha na mama'ke!
tatizo nikwamba vinazidi kuuzwa maskini.kapistrano siyo snake park tu huu mkoa umebarikiwa sana na vivutio vya kutosha.