Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,579
- 161,432
Mnangojea basi la kuwaleta townHe..... na sisi wa vijijini tukoje?
Mnangojea basi la kuwaleta town
Ngambo Ngali umenikumbusha mzee KatuleBasi gani? OBAMKA au???
wee kaoe tu huko, yeye anajua kila kiyu kinamenywa na kuchemshwa kama macharare.Ndio maana ninampango wa kwenda Uru kutafuta mchumba!!!!!!!!!
Ngambo Ngali umenikumbusha mzee Katule
wee kaoe tu huko, yeye anajua kila kiyu kinamenywa na kuchemshwa kama macharare.
Akija mjini lazima akuungie tui la nazi kwenye supu
CC:- Madame B, Mamndenyi, Kungwi, Paloma, watu8, Mtambuzi, Kaizer, Erickb52, Kipaji Halisi, AshaDii, gfsonwin, LiverpoolFC, MadameX, Lady doctor, lara 1, ladyfurahia.
Ujumbe huu unaletwa kwenu kwa hisani ya mwaJ na Mwita Maranya
mi mwenyewe ningezirai