THK DJAYZZ
JF-Expert Member
- Sep 14, 2011
- 2,166
- 175
Jamaa kapewa adhabu ya kuhamisha tofali 1000 hapa jeshini kwa sababu kapita kwenye geti la jeshi bila kusimamisha gari, baada ya kuhamisha tofali 900 akakumbuka kuwa mkuu wa jeshi walisoma wote msingi hivyo akaenda kuwashtaki wale wanajeshi. Mkuu kuskia hivyo alikasirishwa sana na kitendo kile akamuuliza kama alishafanya adhabu hiyo jamaa akasema kashabeba 900. Mkuu akamwambia basi we zirudishe uendelee na safari zako tu ndugu yangu.