Chezea mabinti wa mjini wewe, utabaki mtupu

Chezea mabinti wa mjini wewe, utabaki mtupu

Future president

Senior Member
Joined
Dec 30, 2013
Posts
144
Reaction score
39
Ninaga msichana mmoja ananiumiza bila kujijua, kila akija ananiambia amefikia canteen moja hivi, so nimfuate. Nikienda nakuta ameagiza chipsi kama sio yai au kuku na soda, mlipaji ni mimi hivyo.

Muda tukiongea tumemaliza anampigia simu bodaboda anaitwa side anaunganisha nilipie usafiri mbele ya boda boda, aaaa mabinti wa mjini noma.
 
amefanya wizi huu mara ngap sasa?
 
we bahili sana eee! chips yai 2500 na bodaboda 2000 kwenda na kurud jumla 4500 ndo unalia,je ukiambiwa dela laki?
 
we bahili sana eee! chips yai 2500 na bodaboda 2000 kwenda na kurud jumla 4500 ndo unalia,je ukiambiwa dela laki?

r u serious, mwenzako kageuzwa dining table we waleta masihara...
 
Nyie ndio mnatutia aibu wanaume.... kumnunulia mpenzi wako chipsi kuku ndio na kumpakia boda boda ndio unapiga kelele hivyo!!!
 
Raha ya mwanaume kuhonga bwana elfu 5000 tu unapiga makelele mwanaume pesa aaaagh!!!
 
kwa kweli!! Siku jamaa akitumia laki kwa mdada ataenda itv kabsa!![/QUOTE]

hahaa ataomba arushwe kweny tarfa ya habar
 
Sasa wewe si umwambie ukweli kuwa huwezi fanya gharamia hivyo?. Usikute umemtia mimba tiari na wewe ndio huwa unamwita akusubulie hapo na aagize chchote utalipa hapa unafanya unafiki tu. Mwite naye aje tu balance story.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom