englibertm
JF-Expert Member
- May 1, 2009
- 9,252
- 6,209
mbona hizo mbili nyekundu na njano nado zipo? hazikitakiwa kuwepo kabisa
Eti mkuuu!!??hapa katinga viwalo vya kutokea kabisa?!! Fumanizi ingekuwa kitu mbichi mbichi au siyo mkuu?!!
Bora angemwacha amalizie tukio kuliko kumtatishia uhondo!!.!
Hiyo bongo movie.