Kyindokyakombe
Member
- May 1, 2012
- 95
- 96
Namshauri CHEYO-UDP anachokifanya BUNGENI kwa sasa ni ujinga kwani anajitahidi kuisemea na kujisogeza zaidi upande wa CCM kulikO UPINZANI.REJEA jinsi alivyooneshwa kukerwa na suala la LEMA alivyosema WAZIRI MKUU PINDA alidanganya BUNGE.MGOMO wa MADAKTARI anajifanya kuwashambulia madaktari na upinzani huku akielewa kwamba madaktari wanatetea HUDUMA ZA AFYA ziboreshwe.Pia ile ishu ya ZITO kusainisha WABUNGE wasaini saini 70 za kutokuwa na IMANI na WAZIRI MKUU yeye alikataa kusaini.USHAURI atoke UPINZANI sasa ahamie CCM rasmi kuliko kuwa KIGEUGEU.Mwisho mnaotokea shinyanga kuweni na MSIMAMO SHIBUDA naye asikie.