Cheti cha ndoa cha Serikali kinagharimu kiasi gani kukipata?

KingPower

JF-Expert Member
Jun 8, 2015
1,099
1,747
Wakuu poleni na majukumu,

Hivi Cheti cha ndoa cha serikalini kina gharama ya Tsh ngapi hadi kukipata?

Hata Kwa experience ya uko ulipo

Natanguliza shukrani zenu za dhati
 
Kuandikisha Ni Bure, Sijaona Gharama Zozote Kwa Uzoefu Wangu
Kwani Mnatangaza Redioni Ama Kanisani, Msikitini, Kwa DC
 
Ninachojua Ambacho Kipo Bayana
Mkienda Kuandikisha Ndoa Ni Bure Ila Taratibu Zipo
Lazima Itangazwe Siku 21,Iwapo Kuna Pingamizi La Haki


Siku 21 Kama Kwa DC Utakuta Tangazo Kwenye Mbao
Kama Kanisani Kila Jumapili Itatangazwa Na Huwa Ni Bure

KWA Kanisa Siku 21 Zikiisha Inafungwa Haraka

Gharama Yaweza Kuwa Kubwa Kama Mtapeleka Matangazo Kwenye Radio, Gazeti, Television Ama Kwenye Blogs
 
Mkuu natamani hata niende wilaya nyingine

Hii wilaya ya hapa Tanga mjini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…