Habari wana jamvi, bila shaka mko poa. Poleni kwa hoja za bandari na DP World.
Sasa kuna jambo naombeni wajuzi mnisaidie, hivi pesa stahiki anayopaswa kulipwa mtumishi wa ajira mpya zinazotolewa na TAMISEMI katika halmashauli za wilaya uwa ni kiasi gani yaani huwa ni Tsh. ngapi?
Pia naomba kujuzwa. Je, kila halmashauri znakuwa znatofautiana kiasi cha malipo?
Njooni wadau mnipe nondo hapa. Natanguliza shukrani zangu kwenu.
Sasa kuna jambo naombeni wajuzi mnisaidie, hivi pesa stahiki anayopaswa kulipwa mtumishi wa ajira mpya zinazotolewa na TAMISEMI katika halmashauli za wilaya uwa ni kiasi gani yaani huwa ni Tsh. ngapi?
Pia naomba kujuzwa. Je, kila halmashauri znakuwa znatofautiana kiasi cha malipo?
Njooni wadau mnipe nondo hapa. Natanguliza shukrani zangu kwenu.