Cheo ni dhamana, tuwe na busara

Cheo ni dhamana, tuwe na busara

Leo Magufuli hayupo

Makonda sio tena mtu wa kuogopwa na mtu kama PM na Siro.

Chalamila sio mtu wa kuchapa watoto wa watu viboko na kuwatisha wazazi wao.

Kelele za Mambosasa na Mruto hazipo tena

Mabavu ya sabaya leo ananyea ndoo na kulala saa 12 kama kuku gerezani.

Dunia uwanja wa Fujo lakini ardhi ya mwenyezi Mungu tuikanyage kwa taadhari sana

Mungu atabaki kuwa fundi wa mafundi wote duniani.
Kinachotokea sasa kwa viongozi vijana akina sabaya, makonda n.k. ni fundisho tosha kwa vijana wenye kuwa na ndoto za kuwa viongozi na smbao tyr ni viongozi. Taifa letu lilikuwa linaelekea kuzalisha viongozi wa ovyo wasio na maadili na wasiofuata misingi ya utawala bora. Ni bahati mbaya sana bado sheria na katiba za nchi zinaruhusu ukiukwaji wa misingi ya utawala bora ikiwemo watu kuwekwa gerezani holela n.k. matumizi mabaya ya vyombo vya usalama.
 
Mwaka 2009 , naenda nyumbani kwa baba mdogo ( ni nyumba ya baba mzazi wangu ambaye sasa ni marehemu na yeye baba mdogo pia ana share) nafukuzwa getini na kuitiwa polisi ya kwamba nasumbua, wakati nilikuwa na shida ya sh laki sita anisaidie baba mdogo ,mwanangu alikuwa mngojwa sana hakunisaidia na aliita polisi.
Sasa ni miezi imepita nyumba hiyo naimiliki kwa kuinunua toka kwake pamoja ns ofisi zake na magari yake, juzi kaja kaishia getini nilikuwa sipo nyumbani kaacha ujumbe anaumwa hanipati kwenye simu, anashida ya laki sita, leo nimemrushia sijarudisha ubaya lakini jamani Mungu mwache aitwe Mungu.
Haya maisha haya yanaweza badilika kwa sekunde, tumcheni Mungu.
Ndio maana Mimi uwa naishi kwa taadhari sana haya maisha haya halafu ukiwa bado kijana unatakiwa kuwa makini sana.

Umefanya jambo la maana kumrushia atabeba madhambi yako yote na atapata amani mpaka kufa kwake hata kama utamsamehe.
 
Leo Magufuli hayupo

Makonda sio tena mtu wa kuogopwa na mtu kama PM na Siro.

Chalamila sio mtu wa kuchapa watoto wa watu viboko na kuwatisha wazazi wao.

Kelele za Mambosasa na Mruto hazipo tena

Mabavu ya sabaya leo ananyea ndoo na kulala saa 12 kama kuku gerezani.

Dunia uwanja wa Fujo lakini ardhi ya mwenyezi Mungu tuikanyage kwa taadhari sana

Mungu atabaki kuwa fundi wa mafundi wote duniani.
Ingeundwa team
1. Makonda
2. Mambosasa
3. Muroto
4. Happy
5. Sabaya
6. Chalamila
7. Gambo
8. Madelu
9. Kalamaganda
10. Sabufa
11. Asiyekuwepo
 
Leo Magufuli hayupo

Makonda sio tena mtu wa kuogopwa na mtu kama PM na Siro.

Chalamila sio mtu wa kuchapa watoto wa watu viboko na kuwatisha wazazi wao.

Kelele za Mambosasa na Mruto hazipo tena

Mabavu ya sabaya leo ananyea ndoo na kulala saa 12 kama kuku gerezani.

Dunia uwanja wa Fujo lakini ardhi ya mwenyezi Mungu tuikanyage kwa taadhari sana

Mungu atabaki kuwa fundi wa mafundi wote duniani.

Duniani tunatakiwa tutimize wajibu wetu na kusonga mbele. We dont own anything. Na ajidhaniaye amesimama, aangalie asianguke.

Haya uliyoyaandika hayajaisha bado. yanaendelea kutokea hata leo. Baada ya hawa, wengine wataibuka na mambo kama hayo au tofauti. Pengine sasa mambo yatarudi kivingine...kwa mfano, wapigaji watarudi tena kwa kasi. Tender za umma zitaanza kugombewa kwa vimemo maana kila zama na nabii wake. Au nidhamu ikawa hakuna. Binadamu hatuishiwi na viroja...na Baadae tena atarudi nani na atapambana na nini
 
Waliweka tumaini lao kwa waganga wakiamini ndumba ndo KILA kitu Kwamba Mungu wetu amesinzia.
Awakujua Mungu wetu usikia maombi ya wengi yafananayo yaombwapo kwa unyoofu sauti ya wengi ni sauti ya Mungu
 
Ingeundwa team
1. Makonda
2. Mambosasa
3. Muroto
4. Happy
5. Sabaya
6. Chalamila
7. Gambo
8. Madelu
9. Kalamaganda
10. Sabufa
11. Asiyekuwepo
Huwa nawakubali sana waislamu wao huwa awaumizi wala kukomoa watu,wanajua kesho yao.
 
Leo Magufuli hayupo

Makonda sio tena mtu wa kuogopwa na mtu kama PM na Siro.

Chalamila sio mtu wa kuchapa watoto wa watu viboko na kuwatisha wazazi wao.

Kelele za Mambosasa na Mruto hazipo tena

Mabavu ya sabaya leo ananyea ndoo na kulala saa 12 kama kuku gerezani.

Dunia uwanja wa Fujo lakini ardhi ya mwenyezi Mungu tuikanyage kwa taadhari sana

Mungu atabaki kuwa fundi wa mafundi wote duniani.

Sasa wewe unatafauti gan na mfu? kinachokutafautisha kati yako wewe na mfu ni mda tu, na ipo sku watasema ni Fundi pia
 
Giza halitoweza shinda Nuru.Batili Katu haiwezi ishinda haki.
. Hakuna utekaji
. Kubambikwa makosa
. intellegencia za police kuzuia viashiria
. wasiojulikana wapo likizo milele
.Wimbo wa kuwananga mabeberu huku wakiomba msaada nyuma ya maiki.
. Propaganda feki za kula mahindi choma
. Uzalendo feki kama kichaka cha kufichia uhalifu in bashite and sabaya style
.kuuza sura kwenye camera kushindana kutoa matamko
.Kupita bila kupingwa kumekufa chali
.
 
Leo Magufuli hayupo

Makonda sio tena mtu wa kuogopwa na mtu kama PM na Siro.

Chalamila sio mtu wa kuchapa watoto wa watu viboko na kuwatisha wazazi wao.

Kelele za Mambosasa na Mruto hazipo tena

Mabavu ya sabaya leo ananyea ndoo na kulala saa 12 kama kuku gerezani.

Dunia uwanja wa Fujo lakini ardhi ya mwenyezi Mungu tuikanyage kwa taadhari sana

Mungu atabaki kuwa fundi wa mafundi wote duniani.
kwani makonda bado tu hajanyea ndoo
 
Sasa hapo Mungu anahusikaje?

Ccm itaendelea kutawala hii nchi hata miaka 100 ijayo maana ujinga bado ni tatizo kubwa sana Tanzania.

Hakuna tatizo CCM IKIWEZA kutawala hata milele. Wala hakuna haja ya kuwaletea dharau Watanzania. Ukuu wa Mwenyenzi Mungu ni wa kipekee na haufanyiwi dhihaka.

Nani alitarajia Mzanzibari mwingine kuwa Rais wa JMT so soon? Aliyewezesha hilo ni kwa ujanja au ujinga wake?
 
Back
Top Bottom