The Assassin
JF-Expert Member
- Oct 30, 2018
- 5,082
- 20,798
Sasa hapo mungu anahusikaje, kwani wewe unategemea kufa leo ama kesho?.wewe hakimu mkuu, jiwe alisema atatawala hadi 2025, hata 2021 hakufika nusu yake, chezea muumba bingu na nchi
Mbona mnakua na akili ndogo hivi?