Basi Nenda
JF-Expert Member
- Jul 29, 2017
- 20,180
- 45,908
Sababu yeye mwenyewe anataka
All in All hatutaki Ushoga na Usagaji Nchini mwetu kama ni kufa njaa acha tufe! Wanao taka kufi.rwa wahamie Nchi ambazo wanatikwa!USICHEZE NA TAASISI YA URAIS
Na Thadei Ole Mushi.
Kuna kitu watu hawajui, hasa Vijana!!!
Rais wa Nchi si Mtu Bali ni watu yaani Rais ni taasisi. Kazungukwa na wataalamu wote katika Sector zote.
Rais wa nchi kupitia taasisi yake ya Urais wanajua kila kitu kuhusu Raia wake yaani kila kitu. Wana taarifa zote Muhimu kwa kila Raia wa nchi hii.
Kila siku Rais anapokea taarifa muhimu kutoka pande zote za nchi kuhusu usalama wa nchi. Wanazichambua na kufanya maamuzi.
Nataka kusema nini.?
Serikali sio vichaa kumfukuza Balozi wa EU nchini. Kuna mambo mengi wameyaona kabla ya kumfukuza.
Na kidiplomasia kabla ya Kumfukuza mwakilishi wa nchi lazma watoe taarifa kwa nchi husika anakotokea huyo mwakilishi. Yaani kabla ya balozi wetu wa Uingereza hajarudishwa nchini kwa mfano lazma serikali ya Uingereza ifanye mazungumzo na serikali yetu na wakubaliane.
Kwangu mimi huu ni ujasiri mkubwa na uwezo mkubwa sana Serikali yetu imeonyesha. Kuthubutu kumkataa mwakilishi wa EU si jambo dogo na si nchi zote za Afrika zinauthubutu huu.
Kuna mambo mengi ambayo yanafanywa na Serikali na hayasemwi. Ila usicheze na Taasisi hii kabisa.
Narudia taasisi hii sio Mtu Bali ni team wana access na wewe sana kila taarifa yako wanayo. Mwecheni huyu balozi arudi kwao atakuja mwingine.... Serikali imejiridhisha na nchi yetu inabaki kuendelea kuwa Salama
Ole Mushi
0712702602View attachment 920000
Kwani mtu akifirwa we unapata hasara gani?All in All hatutaki Ushoga na Usagaji Nchini mwetu kama ni kufa njaa acha tufe! Wanao taka kufi.rwa wahamie Nchi ambazo wanatikwa!
Fatma Karume naye kawa Chizi! Eti kufi.rwa au kusagwa nako ni haki za binadamu!!