BPM JF-Expert Member Mar 10, 2011 2,760 573 Aug 26, 2011 #81 ukiipata hiyo cheni itabidi kuipima ubora kaba ya mechi
JS JF-Expert Member Sep 29, 2009 2,064 497 Aug 26, 2011 #82 Ukishapata shosti unishtue nikupe maujuzi.......
Dena Amsi R I P Aug 17, 2010 13,082 4,260 Aug 27, 2011 #83 Vivy umepata au bado? Matumizi wayajua weye? Ukishindwa ni PM
Fidel80 JF-Expert Member May 3, 2008 21,947 4,444 Aug 27, 2011 #84 vivian said: Unaweza nipa no. yake ya simu? Click to expand... Nicheck PM nakupa yangu
Husninyo JF-Expert Member Oct 24, 2010 23,723 9,189 Aug 27, 2011 #85 kobello said: Samahani dada naomba kukuuliza swali....Hivi mwanaume akiivaa hiyo cheni atavutia wanawake?<br /> Swali tu,usifikirie sana! Click to expand... <br /> <br /> hahahaha! Nimeshindwa kujibu maana umeniambia nisifikirie sana.
kobello said: Samahani dada naomba kukuuliza swali....Hivi mwanaume akiivaa hiyo cheni atavutia wanawake?<br /> Swali tu,usifikirie sana! Click to expand... <br /> <br /> hahahaha! Nimeshindwa kujibu maana umeniambia nisifikirie sana.
Msolopagazi JF-Expert Member Nov 26, 2010 663 153 Aug 28, 2011 #86 Mie nilijua labda cheni ya kisharobaro ya shingoni kumbe ya kiunoni mmmmhhhh mie siwawezi!!!!!!