Cheni ya kunogesha Penzi

ukiipata hiyo cheni itabidi kuipima ubora kaba ya mechi
 
Samahani dada naomba kukuuliza swali....Hivi mwanaume akiivaa hiyo cheni atavutia wanawake?<br />
Swali tu,usifikirie sana!
<br />
<br />
hahahaha! Nimeshindwa kujibu maana umeniambia nisifikirie sana.
 
Mie nilijua labda cheni ya kisharobaro ya shingoni kumbe ya kiunoni mmmmhhhh mie siwawezi!!!!!!
 
Back
Top Bottom