Mkumbo
Wameisha sema hapa siyo uchawi Mkuu labda ni technologia za kisasa zaidi.
Vijisenti wanavyo vya kununua sumu kali tusubiri na Mungu aepushe madhara yote.
Mkumbo
Wameisha sema hapa siyo uchawi Mkuu labda ni technologia za kisasa zaidi.
Wewe Kitila, utakuwa kiongozi wa Tanzania bila ya kwenda Bagamoyo? Vipi mkuu unafikiri ni bure? Wakuu kina Zitto wanahitaji kukufunda mkuu,
Yaani bila sangoma na songi songi itakuwaje huwezi kuwa hata katibu tarafa vipi mkuu chi yako unakuwa kama mgeni?
Labda hizo Camera za usalama lakini hilo la Star Tv mmmh ukumbi wa bunge ukifungwa waandishi wote na zana zao wanatoka iweje hizo camera za Star Tv zikabaki open kama CCTV camera?
Labda hizo Camera za usalama lakini hilo la Star Tv mmmh ukumbi wa bunge ukifungwa waandishi wote na zana zao wanatoka iweje hizo camera za Star Tv zikabaki open kama CCTV camera?
I smell something very fishy kwenye bandiko hili....
Je ikiwa ni kweli alirudi na akapangusa viti hivyo na ikathibitika,sheria gani itakayo mbana?
Masatu na wengine, kwa taarifa ni kwamba siku hiyo ilikuwa kuna kikao cha CCM na inapokua hivyo wapiga picha wa TV binafsi wanatakiwa kuondoa kamera zao na kinapoisha wanaweza kuzifunga na kuunga vinasa sauti vyao kwa ajili ya kikao cha siku inayofuata, ili asubuhi kunapokaguliwa na kufanywa usafi wasiguse kitu. Sasa walipoingia juu ya ukumbi wakiwa kazini wakaona watu wanaingia ndani ya ukumbi baada ya waheshimiwa wote kutoka, ndipo wakamuona mzee wa vijisenti akisindikizwa na ofisa mmoja wa Bunge. Mwanga haukua mkali maana hawakuwasha taa bali walitegemea mwanga wa taa za juu ya ukumbi. Kutokana na mwanga kuwa mdogo, taarifa rasmi zinasema camera za usalama za bunge zinaonyesha watu lakini bila kuonyesha sura halisi na kinachofanyika ni utaalamu wa juu zaidi kuweza kubaini ni kina nani hasa.
Taarifa za nani hizo?
Mbona wanaosemwa wamesema hawataki kujulikana wamesema?
Anonymous sources zinapunguza credibility ya habari, ndio maana media za nchi zilizoendelea haziandikai habari hivyo.
Mtu akisema "jina tunalo" au "taarifa za kuaminika zinasema" hiyo haina maana nikuamini kwa sababu tu umesema. Taarifa kama hizo zinaendana na tabloid journalism, au Kiswahili, udaku.
Kuna namna ya kutumia anonymous sources katika jinsi ambayo inaliwajibisha gazeti kama tukikuta ni habari za uongo. Wanaweza kusema kitu kama "taarifa hizi zimedhihirishwa kutoka kwa Kiongozi ambae ametaka jina lake lisitajwe." Hapo tunajua gazeti kwa nini imeficha jina, na tunajua gazeti limejiweka nyuma ya hii stori, kwamba wanatuahidi wamedhihirisha huyu anonymous. Tukikuta ni uongo, ni gazeti ndilo responsible na haliwezi kujisafisha kwa kutupa mpira kwa mtu baki ambae hajulikani!
Kwa sababu hawafundishi hivi vitu Nyegezi na UDSM, ngoja tupelekane shule hapa hapa.