Nani aliye msafi hapa . Suala sio tatizo la uelewa ni ushabiki usio na tija. Kuelewa naelewa ndio maana nimesena someni mwenendo wa case hiyo na hukumu yake. Nionyeshe wapi chenge alitajwa kwenye case hiyo. Ndio maana walimsafisha. Lkn kwa kuwa hutaki kusoma kazi kwakoKama wewe ni miongoni mwa watanzania wanaamini kuwa Chenge ni msafi na tuhuma zinazomkabili ni za kusingiziwa na anaonewa tu,sina haja ya kubishana nawe!kwasababu itakuwa ni tatizo la uelewa wa mambo!
Chenge ni Kansa ndani ya CCM. Anachofanya kwa sasa ni kuiaga CCM kwa vitimbwi akijua kwamba hana sehemu ya kutokea zaidi ya hapo alipo. Anachofanya sasa hivi ni kumwaga mboga na kuichafua Serikali ya CCM kwa mgongo wa Bunge. Kama hata shughulikiwa mapema ataliingiza bunge kwenye matatizo ambazo yatakiingiza Chama Cha Mapinduzi matatani mbele za Watanzania wenye kuendelea kuiamini serikali ya Magufuli. Hili la kusema wana mtengeneza Lowassa mwingine sio la kweli kwa mtu kama Chenge kwasababu hana uwezo wa kushawishi na kukubalika. Anakiua chama ndugu yangu..!!!Wote tunaikumbuka nguvu ya Lowassa ndani ya CCM ilianza kama masihara matokeo yake Lowassa akakuwa mpaka akafikia hatua akawa kama untouchable licha ya kuwa na kashfa za ufisadi lakini nguvu yake ilikuwa kubwa kiasi cha kukitikisa chama.
Naiona hiyo nguvu pia anaanza kuwa nayo Mtemi Chenge akiwa mwenyekiti wa bunge amekuwa na sauti kuliko ata spika na naibu wake kiasi cha kufukuza mpaka mbunge kikaoni.
Wasiwasi wangu ni kuwa CCM haswa wabunge wake wanatutengenezea Lowassa mpya maana ni wazi Chenge kapata uenyekiti wa bunge baada ya kuchaguliwa na wabunge haswa wa CCM. Sielewi haswa mapenzi ya wabunge wa ccm kwa Chenge yalitoka wapi au labda ni nguvu ya vijisenti ila kwa kweli katika vitu vinavysikitisha ni hili la Chenge kuwa mwenyekiti wa bunge na kuwa anafanya maamuzi haswa yanayousiaana na rushwa ikiwa yeye alikamatwa 'ready handed' na SFO kwenye ishu ya rada.
Nashauri Magufuli awe makini sana na huyu mtu anakuwa taratibu na anapata moral authority ya kushughulikia wanaotoa tuhuma za rushwa. Najua Magufuli awezi kupingana na maamuzi ya wabunge wake ila muda sio mrefu anakabidhiwa rungu la uenyekiti wa chama awa ndio majipu ya chama.
La sivyo ufisadi utakuwa ni wimbo wa kisiasa tu kama wapinzani walivyompa mtuhumiwa wa ufisadi kugombea urais na ccm mnampa mtuhumiwa wa ufisadi kuliongoza Bunge.
Kenge nyie,Chenge ni habari nyingne.
ufisadi kaambukizwa na ccm , unaonekana mkichwa chako kuna figisufigisu maana utulizi akili.
Mkuu mimi sikufatilia kwa karibu uteuzi wa Chenge, hivi kawekwa pale na wabunge wenzake au kateuliwa na Spika wa Bunge?huyu ni kubwa la maadui, kwani katika mapacha watatu yeye tu ndio amekomaa na kwa sasa anarundikiwa na vyeo tu, sasa anaweza hata kuwa mwenyekiti wa CCM Taifa. Sijui Mitanzania tuna mashetani gani? Fisadi mhujumu uchumi kuongiza bunge, watu hatuko serious, huyu anakuwa na maamuzi ya ajabu
Wote tunaikumbuka nguvu ya Lowassa ndani ya CCM ilianza kama masihara matokeo yake Lowassa akakuwa mpaka akafikia hatua akawa kama untouchable licha ya kuwa na kashfa za ufisadi lakini nguvu yake ilikuwa kubwa kiasi cha kukitikisa chama.
Naiona hiyo nguvu pia anaanza kuwa nayo Mtemi Chenge akiwa mwenyekiti wa bunge amekuwa na sauti kuliko ata spika na naibu wake kiasi cha kufukuza mpaka mbunge kikaoni.
Wasiwasi wangu ni kuwa CCM haswa wabunge wake wanatutengenezea Lowassa mpya maana ni wazi Chenge kapata uenyekiti wa bunge baada ya kuchaguliwa na wabunge haswa wa CCM. Sielewi haswa mapenzi ya wabunge wa ccm kwa Chenge yalitoka wapi au labda ni nguvu ya vijisenti ila kwa kweli katika vitu vinavysikitisha ni hili la Chenge kuwa mwenyekiti wa bunge na kuwa anafanya maamuzi haswa yanayousiaana na rushwa ikiwa yeye alikamatwa 'ready handed' na SFO kwenye ishu ya rada.
Nashauri Magufuli awe makini sana na huyu mtu anakuwa taratibu na anapata moral authority ya kushughulikia wanaotoa tuhuma za rushwa. Najua Magufuli awezi kupingana na maamuzi ya wabunge wake ila muda sio mrefu anakabidhiwa rungu la uenyekiti wa chama awa ndio majipu ya chama.
La sivyo ufisadi utakuwa ni wimbo wa kisiasa tu kama wapinzani walivyompa mtuhumiwa wa ufisadi kugombea urais na ccm mnampa mtuhumiwa wa ufisadi kuliongoza Bunge.
Corrections!ufisadi na ccm dugu moja uwezi tenganisha
kwa hiyo kuwa mbombezi wa sheria ni siraha ya kuwa fisadi kuu hii ndio sifa kuu ya CCM.
Wapi mlikutania kwenye urogiHuyu mzee ni mshirikina bana.
BAhati mbaya sana maana dua hili hata shetani hawezi kulisikiliza.Kwa miji-issue iliyomkabili Nyoka Makengeza kuhusu kashfa ya Vijisenti,Kibri ya kugomea mamlaka kuhojiwa juu ya tuhuma zile,Kama ingekuwa Korea angewekwa kwenye uwanja wa Shabaha ya Makombora ya masafa marefu ili asionekane tena!
UNajua maana ya reWote tunaikumbuka nguvu ya Lowassa ndani ya CCM ilianza kama masihara matokeo yake Lowassa akakuwa mpaka akafikia hatua akawa kama untouchable licha ya kuwa na kashfa za ufisadi lakini nguvu yake ilikuwa kubwa kiasi cha kukitikisa chama.
Naiona hiyo nguvu pia anaanza kuwa nayo Mtemi Chenge akiwa mwenyekiti wa bunge amekuwa na sauti kuliko ata spika na naibu wake kiasi cha kufukuza mpaka mbunge kikaoni.
Wasiwasi wangu ni kuwa CCM haswa wabunge wake wanatutengenezea Lowassa mpya maana ni wazi Chenge kapata uenyekiti wa bunge baada ya kuchaguliwa na wabunge haswa wa CCM. Sielewi haswa mapenzi ya wabunge wa ccm kwa Chenge yalitoka wapi au labda ni nguvu ya vijisenti ila kwa kweli katika vitu vinavysikitisha ni hili la Chenge kuwa mwenyekiti wa bunge na kuwa anafanya maamuzi haswa yanayousiaana na rushwa ikiwa yeye alikamatwa 'ready handed' na SFO kwenye ishu ya rada.
Nashauri Magufuli awe makini sana na huyu mtu anakuwa taratibu na anapata moral authority ya kushughulikia wanaotoa tuhuma za rushwa. Najua Magufuli awezi kupingana na maamuzi ya wabunge wake ila muda sio mrefu anakabidhiwa rungu la uenyekiti wa chama awa ndio majipu ya chama.
La sivyo ufisadi utakuwa ni wimbo wa kisiasa tu kama wapinzani walivyompa mtuhumiwa wa ufisadi kugombea urais na ccm mnampa mtuhumiwa wa ufisadi kuliongoza Bunge.
By the way ni red-handed. Lkn pis unajua maana ya red handed? Ni wp SFO ilisema imemkamata red-handed?Wote tunaikumbuka nguvu ya Lowassa ndani ya CCM ilianza kama masihara matokeo yake Lowassa akakuwa mpaka akafikia hatua akawa kama untouchable licha ya kuwa na kashfa za ufisadi lakini nguvu yake ilikuwa kubwa kiasi cha kukitikisa chama.
Naiona hiyo nguvu pia anaanza kuwa nayo Mtemi Chenge akiwa mwenyekiti wa bunge amekuwa na sauti kuliko ata spika na naibu wake kiasi cha kufukuza mpaka mbunge kikaoni.
Wasiwasi wangu ni kuwa CCM haswa wabunge wake wanatutengenezea Lowassa mpya maana ni wazi Chenge kapata uenyekiti wa bunge baada ya kuchaguliwa na wabunge haswa wa CCM. Sielewi haswa mapenzi ya wabunge wa ccm kwa Chenge yalitoka wapi au labda ni nguvu ya vijisenti ila kwa kweli katika vitu vinavysikitisha ni hili la Chenge kuwa mwenyekiti wa bunge na kuwa anafanya maamuzi haswa yanayousiaana na rushwa ikiwa yeye alikamatwa 'ready handed' na SFO kwenye ishu ya rada.
Nashauri Magufuli awe makini sana na huyu mtu anakuwa taratibu na anapata moral authority ya kushughulikia wanaotoa tuhuma za rushwa. Najua Magufuli awezi kupingana na maamuzi ya wabunge wake ila muda sio mrefu anakabidhiwa rungu la uenyekiti wa chama awa ndio majipu ya chama.
La sivyo ufisadi utakuwa ni wimbo wa kisiasa tu kama wapinzani walivyompa mtuhumiwa wa ufisadi kugombea urais na ccm mnampa mtuhumiwa wa ufisadi kuliongoza Bunge.
Observation yako ni nzuri, huyu Chenge ana washughulikia wale wanaopinga ufisadi! JPM na CCM wasitegemee jema lolote toka kwa Chenge.
Kweli mna kazi jina hili litawatoa nyongo. Kila kukicha hamlali. Yeye yuko na ataendelea kuweko mpaka siku Bwana atakapoamua. Mtamuita majina yote lkn wananchi wake walimchagua. Wengine komaeni na wabunge wenuNi Aibu Chenge ni Kama Nicholas Biwott wa Kenya alivyokuwa, Fisadi ambaye anachora Michoro ya Wizi kwa Niaba ya Wakubwa. Jiulize Kwanini Chenge Alipewa hata Tiketi ya Kugombea Ubunge Kama CCM wanakata Majina ya Mafisadi. Chenge Ni mwizi, tofauti na Lowassa Ushahidi Upo. Chenge Yupo pale Kulinda Maslaahi ya Mafisadi hasa Kikwete na Mkapa.
Achana Na huu tu ufisadi wa Mikataba na Fedha za Umma, Pia wanamichoro ya Kimafya Kama Mnakumbuka Marekani ilishaichimbia Mkwara Serikali ya Kikwete kwa Kuzipeperushia bendera ya Tanzania Meli za Mafuta za Iran iliyokuwa imewekewa Vikwazo vya Uchumi. Wakati huo Pipa la Mafuta lilikuwa $ 100-110 sasa Pipa ni $ 35. Jiulize Walifanya hivi Bila Kuhogwa? Wakati huo Mwanasheria Mkuu alikuwa Chenge! Hiyo ilikuwa mwaka 2012 waliposhitukiwa Zilikuwa Meli Kubwa za Mafuta 35. Utetezi wao eti hawakujua.
Waliweza Kutumia Bendera ya Nchi yetu Kukiuka sheria za Kimataifa Kujinufaisha wenyewe huku wakijua, wangaliweza Kuleta hata maafa ya Vita juu yetu.
Tanzania probes Iran oil tankers re-flagging allegations - BBC News
Chenge Yuko Pale Bungeni Kuzima Kila Kitu Kitakachoibuliwa Kinyume chake na Mafisadi wenzake. Na nahisi walimtumia tu Magufuli ili washinde lakini hawautaki kabisa Moyo wake. Sikiliza Kicheko cha Kikwete cha Kebehi Kwa Magufuli.
Kutatua Matatizo Ni mwito Unaotolewa kwa Kicheko cha aina hii kweli (Wazungu wanakiita sarcastic lough)