Chenge: CCM wanamtengeneza Lowassa mpya?

Chenge: CCM wanamtengeneza Lowassa mpya?

huyu ni kubwa la maadui, kwani katika mapacha watatu yeye tu ndio amekomaa na kwa sasa anarundikiwa na vyeo tu, sasa anaweza hata kuwa mwenyekiti wa CCM Taifa. Sijui Mitanzania tuna mashetani gani? Fisadi mhujumu uchumi kuongiza bunge, watu hatuko serious, huyu anakuwa na maamuzi ya ajabu

Kama una ushahidi wa Ufisadi nenda Mahakamani otherwise shutup-Mchungaji Kiongozi Nabii Dr. Edward Lowassa
 
eti lowassa alikuwa na nguvu,nguvu gani hiyo??na chenge kachaguliwa pale kwa kuwa ni mbobezi katika sheria
Kwahiyo vile anaimudu sharia hata awe mwizi na fisadi ni sawa tu eh!!?nani alikuwaambia criteria ya uenyekiti wa bunge ni ugwiji wa sheria ?
 
Wote tunaikumbuka nguvu ya Lowassa ndani ya CCM ilianza kama masihara matokeo yake Lowassa akakuwa mpaka akafikia hatua akawa kama untouchable licha ya kuwa na kashfa za ufisadi lakini nguvu yake ilikuwa kubwa kiasi cha kukitikisa chama.

Naiona hiyo nguvu pia anaanza kuwa nayo Mtemi Chenge akiwa mwenyekiti wa bunge amekuwa na sauti kuliko ata spika na naibu wake kiasi cha kufukuza mpaka mbunge kikaoni.


Wasiwasi wangu ni kuwa CCM haswa wabunge wake wanatutengenezea Lowassa mpya maana ni wazi Chenge kapata uenyekiti wa bunge baada ya kuchaguliwa na wabunge haswa wa CCM. Sielewi haswa mapenzi ya wabunge wa ccm kwa Chenge yalitoka wapi au labda ni nguvu ya vijisenti ila kwa kweli katika vitu vinavysikitisha ni hili la Chenge kuwa mwenyekiti wa bunge na kuwa anafanya maamuzi haswa yanayousiaana na rushwa ikiwa yeye alikamatwa 'ready handed' na SFO kwenye ishu ya rada.


Nashauri Magufuli awe makini sana na huyu mtu anakuwa taratibu na anapata moral authority ya kushughulikia wanaotoa tuhuma za rushwa. Najua Magufuli awezi kupingana na maamuzi ya wabunge wake ila muda sio mrefu anakabidhiwa rungu la uenyekiti wa chama awa ndio majipu ya chama.

La sivyo ufisadi utakuwa ni wimbo wa kisiasa tu kama wapinzani walivyompa mtuhumiwa wa ufisadi kugombea urais na ccm mnampa mtuhumiwa wa ufisadi kuliongoza Bunge.
sifa mojawapo ya kuwa kiongozi wa ccm lazima uwe na sifa kama za chenge,wewe uoni jinsi Makufuli kidogokidogo sura yake kamili inavyojitokeza sasa subiri wapinzani watakavyouwawa Zanzibar
 
Wote tunaikumbuka nguvu ya Lowassa ndani ya CCM ilianza kama masihara matokeo yake Lowassa akakuwa mpaka akafikia hatua akawa kama untouchable licha ya kuwa na kashfa za ufisadi lakini nguvu yake ilikuwa kubwa kiasi cha kukitikisa chama.

Naiona hiyo nguvu pia anaanza kuwa nayo Mtemi Chenge akiwa mwenyekiti wa bunge amekuwa na sauti kuliko ata spika na naibu wake kiasi cha kufukuza mpaka mbunge kikaoni.


Wasiwasi wangu ni kuwa CCM haswa wabunge wake wanatutengenezea Lowassa mpya maana ni wazi Chenge kapata uenyekiti wa bunge baada ya kuchaguliwa na wabunge haswa wa CCM. Sielewi haswa mapenzi ya wabunge wa ccm kwa Chenge yalitoka wapi au labda ni nguvu ya vijisenti ila kwa kweli katika vitu vinavysikitisha ni hili la Chenge kuwa mwenyekiti wa bunge na kuwa anafanya maamuzi haswa yanayousiaana na rushwa ikiwa yeye alikamatwa 'ready handed' na SFO kwenye ishu ya rada.


Nashauri Magufuli awe makini sana na huyu mtu anakuwa taratibu na anapata moral authority ya kushughulikia wanaotoa tuhuma za rushwa. Najua Magufuli awezi kupingana na maamuzi ya wabunge wake ila muda sio mrefu anakabidhiwa rungu la uenyekiti wa chama awa ndio majipu ya chama.

La sivyo ufisadi utakuwa ni wimbo wa kisiasa tu kama wapinzani walivyompa mtuhumiwa wa ufisadi kugombea urais na ccm mnampa mtuhumiwa wa ufisadi kuliongoza Bunge.
Baada ya kukosa hoja, tutarajie mada nyingi za kipuuzi kama hii. Lowassa ni untouchable huko CHADEMA na UKAWA. Kwa CCM alikatwa bila tatizo lolote. Chenge kutoa wabunge wachungulia shanga nje ni sehemu ya majukumu yake, vinginevyo Ndugai angekuwa maarufu zaidi Tanzania kwani aliwashikisha adabu vilivyo wabunge wafanya fujo
 
Back
Top Bottom