huyu ni kubwa la maadui, kwani katika mapacha watatu yeye tu ndio amekomaa na kwa sasa anarundikiwa na vyeo tu, sasa anaweza hata kuwa mwenyekiti wa CCM Taifa. Sijui Mitanzania tuna mashetani gani? Fisadi mhujumu uchumi kuongiza bunge, watu hatuko serious, huyu anakuwa na maamuzi ya ajabu
Kama una ushahidi wa Ufisadi nenda Mahakamani otherwise shutup-Mchungaji Kiongozi Nabii Dr. Edward Lowassa