Ezekiel Batimba
Member
- Jul 13, 2014
- 18
- 8
Mkuu hebu ni pm huyo jamaa wa dutwa.
Nimefanya kazi dutwa kipindi kirefu mkuu....
Niku Pm nitugani namba au jina lake. Kama namba itabidi uni pm yako kwanza.
Pamoja mkuu
Mkuu hebu ni pm huyo jamaa wa dutwa.
Nimefanya kazi dutwa kipindi kirefu mkuu....
Mbunge wa jimbo la Bariadi mashariki mze wavijisenti. Amekubwa na aibu ya kuzomewa na wanakijiji wa kijiji cha Mwakibuga jimboni kwake.
Dhahama hii imemkuta mbunge huyu (aliyetumbua dili ya rada 2003), alikuwa akihutubia wananchi wa kijiji hicho. Sakata lilianza pale Chenge alipowaambia wananchi waacheakushiriki harakati za Chadema. Gafla watu wakaanza kugunaguna. Naye bila kujua akarudia maelekezo yake hayo. Ndipo kundi la wanachi wakamzomea kwa sauti kubwa.
Baada ya kuzomewa chenge akawaamuru police kuwakamata wazomeaji. Hapo ndipo khali ikawaka ghafla na lolote likichelea kutokea hadi mzee chenge alipotolewa chini ya escort ya FFU.
Kwa sasa Watu wa Bariadi wameapa kutodanganyika na liCCM tena.
Mtu mzima bawacha mzima hata matumizi ya mabano hujui halafu unataka kutunga uongo wa kipuuzi kama huu nani atakuelewa.Mbunge wa jimbo la Bariadi mashariki mze wavijisenti. Amekubwa na aibu ya kuzomewa na wanakijiji wa kijiji cha Mwakibuga jimboni kwake.
Dhahama hii imemkuta mbunge huyu (aliyetumbua dili ya rada 2003), alikuwa akihutubia wananchi wa kijiji hicho. Sakata lilianza pale Chenge alipowaambia wananchi waacheakushiriki harakati za Chadema. Gafla watu wakaanza kugunaguna. Naye bila kujua akarudia maelekezo yake hayo. Ndipo kundi la wanachi wakamzomea kwa sauti kubwa.
Baada ya kuzomewa chenge akawaamuru police kuwakamata wazomeaji. Hapo ndipo khali ikawaka ghafla na lolote likichelea kutokea hadi mzee chenge alipotolewa chini ya escort ya FFU.
Kwa sasa Watu wa Bariadi wameapa kutodanganyika na liCCM tena.
Mtu mzima bawacha mzima hata matumizi ya mabano hujui halafu unataka kutunga uongo wa kipuuzi kama huu nani atakuelewa.
Kumbe watu hawaogopi fedha siku hizi...!!!! ? Lo natamani iwe hivi dhidi ya watani zangu nchi nzima.
Mtu mzima bawacha mzima hata matumizi ya mabano hujui halafu unataka kutunga uongo wa kipuuzi kama huu nani atakuelewa.
CHENGE HATORUDI BUNgeni 2015 .
wasukuma walishajitambua siku nyingi ndiyo maana wabunge wengi wa upinzani wanatoka huko, ndugu zangu hawa wamenyanyasika sana na mdudu ccm..huwa wanalazimishwa kulima pamba halafu serikali kwa kushirikiana na mafisadi ya ccm hupanga bei ya kununua...
Impact za M4C zimeanza kuzaa matunda.Uzuri walishaambiwa wajiandae kisaikolojia.
Mbunge wa jimbo la Bariadi mashariki mze wavijisenti. Amekubwa na aibu ya kuzomewa na wanakijiji wa kijiji cha Mwakibuga jimboni kwake.
Dhahama hii imemkuta mbunge huyu (aliyetumbua dili ya rada 2003), alikuwa akihutubia wananchi wa kijiji hicho. Sakata lilianza pale Chenge alipowaambia wananchi waacheakushiriki harakati za Chadema. Gafla watu wakaanza kugunaguna. Naye bila kujua akarudia maelekezo yake hayo. Ndipo kundi la wanachi wakamzomea kwa sauti kubwa.
Baada ya kuzomewa chenge akawaamuru police kuwakamata wazomeaji. Hapo ndipo khali ikawaka ghafla na lolote likichelea kutokea hadi mzee chenge alipotolewa chini ya escort ya FFU.
Kwa sasa Watu wa Bariadi wameapa kutodanganyika na liCCM tena.