Chenge azomewa (Mwakibuga, Bariadi)

Chenge azomewa (Mwakibuga, Bariadi)

Tatizo mnajidanganya wenyewe kisha mnadai mmeibiwa kura. CCM haiwezi kushindwa kupitia propaganda za JF. Fanyeni kazi ya siasa kwa watu
 
Mzee chenge ni kiongozi wa watu aliyeletwa na Mungu hapa dunia kuja kusaidia watu wake na kweli anawasaidia anasomesha watoto wasio jiweza, anajenga zahanati, anachimba visima, amejenga mashule na kila aina ya maendeleo ameleta jimboni kwake hata mkimuonea wivu hamtakaweza kuubadili ukweli Mzee chenge atabaki kuwa kipenzi cha wanabariadi na ni mbunge wetu wa maisha Mzee chenge oyeeeeee
 
Uongo, uongo, muogepeni mungu acheni kuwafanya watanzania ni wajinga kama ninyi mlivyo waongo mbona mmezoea uongo hivyo? Kweli Frenk unawezaje kuandika kitu ambacho huna uhakika nacho? Ukizoea uongo utaishi kwa uongo!
 
Chifu A, Chenge nakuombea kwa mungu akubariki endelea kuchapa kazi Bariadi inahitaji maendeleo na siyo majungu! wewe ni mbunge wa vitendo na maendeleo umefanya mengi jimboni kwako ambayo hayakuwepo kipindi cha nyuma usikatishwe tamaa na watumwa wa mawazo ya wachaga, Bariadi inakuhitaji kuliko kitu chochote maana wewe ni maneno kidogo lakini vitendo vingi tunakupenda, tunakuhitaji na tutakupigania hadi tone letu la mwisho la damu yetu, Bariadi ni yako ondoa hofu wewe chapakazi Chifu!
 
Jamani Hilo pepo hapo juu liitwalo Kicholi sijui....Limepagawa Angalieni pindi likimtoka huyo linaweza kurukia yeyote alie jirani Tafadhari jaa mbali naye

BACK TANGANYIKA
 
Mbunge wa jimbo la Bariadi mashariki mze wavijisenti. Amekubwa na aibu ya kuzomewa na wanakijiji wa kijiji cha Mwakibuga jimboni kwake.

Dhahama hii imemkuta mbunge huyu (aliyetumbua dili ya rada 2003), alikuwa akihutubia wananchi wa kijiji hicho. Sakata lilianza pale Chenge alipowaambia wananchi waacheakushiriki harakati za Chadema. Gafla watu wakaanza kugunaguna. Naye bila kujua akarudia maelekezo yake hayo. Ndipo kundi la wanachi wakamzomea kwa sauti kubwa.
Baada ya kuzomewa chenge akawaamuru police kuwakamata wazomeaji. Hapo ndipo khali ikawaka ghafla na lolote likichelea kutokea hadi mzee chenge alipotolewa chini ya escort ya FFU.

Kwa sasa Watu wa Bariadi wameapa kutodanganyika na liCCM tena.

Polisi nao bana, yaani badala ya kuwakamata wazomeaji kwa amri ya Mwanasheria Mkuu Mstaafu, wao wakamkamata yeye na kumuondoa hapo kwa kivuli cha "escort"! Hawa Polisi watakuwa ni wa CHADEMA tu, sio bure! Au vp mkuu ifweero.
 
wasukuma walishajitambua siku nyingi ndiyo maana wabunge wengi wa upinzani wanatoka huko, ndugu zangu hawa wamenyanyasika sana na mdudu ccm..huwa wanalazimishwa kulima pamba halafu serikali kwa kushirikiana na mafisadi ya ccm hupanga bei ya kununua...

Hapo penye red umeona ehhhh, hicho ndicho kilichoua na kitaendelea kuua CCM kanda ya ziwa na kwa vile CCM kazoea kamwe "Kenge haachi mila zake mpaka damu itoke puani"
 
Chifu A, Chenge nakuombea kwa mungu akubariki endelea kuchapa kazi Bariadi inahitaji maendeleo na siyo majungu! wewe ni mbunge wa vitendo na maendeleo umefanya mengi jimboni kwako ambayo hayakuwepo kipindi cha nyuma usikatishwe tamaa na watumwa wa mawazo ya wachaga, Bariadi inakuhitaji kuliko kitu chochote maana wewe ni maneno kidogo lakini vitendo vingi tunakupenda, tunakuhitaji na tutakupigania hadi tone letu la mwisho la damu yetu, Bariadi ni yako ondoa hofu wewe chapakazi Chifu!


Usimudanganye Chenge. Najua unaishi kwa pocket money ya Chenge.

Umesema taarifa hii ni ya uongo. Sasa naeweza kuweka namba za simu za wakazi maarufu wa Bariadi. Ucheck nao watakujuza kwa sasa hii ni habari mototo huku Bariadi hakuna mtu asiyejua.
 
Chifu A, Chenge nakuombea kwa mungu akubariki endelea kuchapa kazi Bariadi inahitaji maendeleo na siyo majungu! wewe ni mbunge wa vitendo na maendeleo umefanya mengi jimboni kwako ambayo hayakuwepo kipindi cha nyuma usikatishwe tamaa na watumwa wa mawazo ya wachaga, Bariadi inakuhitaji kuliko kitu chochote maana wewe ni maneno kidogo lakini vitendo vingi tunakupenda, tunakuhitaji na tutakupigania hadi tone letu la mwisho la damu yetu, Bariadi ni yako ondoa hofu wewe chapakazi Chifu!

Mzee Chenge kweli na wewe unakubali kuingia kwenye malumbano hapa JF? Hebu nenda kapumzike Mzee acha kubishana na vijana kwenye mitandao!
 
Uongo, uongo, muogepeni mungu acheni kuwafanya watanzania ni wajinga kama ninyi mlivyo waongo mbona mmezoea uongo hivyo? Kweli Frenk unawezaje kuandika kitu ambacho huna uhakika nacho? Ukizoea uongo utaishi kwa uongo!

Ni lini Wewe Mzee Chenge ulisema ukweli?
 
Uongo, uongo, muogepeni mungu acheni kuwafanya watanzania ni wajinga kama ninyi mlivyo waongo mbona mmezoea uongo hivyo? Kweli Frenk unawezaje kuandika kitu ambacho huna uhakika nacho? Ukizoea uongo utaishi kwa uongo!

WEKA UKWELI unaoujua basi , HIVI UFISADI WOTE HUO WA CHENGE KWANINI ASIZOMEWE NA KUPIGWA MAWE ?
 
Ameleta milioni 100 chenji kusaidia ujenzi wa maabara.....wachukue pesa wamtelekeze tu
 
Kumbe nguvu Ya pesa kuna wakat haisaidii, wananchi wamechoka wanataka mabadiliko ccm walitambee hilo...
 
Mbunge wa jimbo la Bariadi mashariki mze wavijisenti. Amekubwa na aibu ya kuzomewa na wanakijiji wa kijiji cha Mwakibuga jimboni kwake.

Dhahama hii imemkuta mbunge huyu (aliyetumbua dili ya rada 2003), alikuwa akihutubia wananchi wa kijiji hicho. Sakata lilianza pale Chenge alipowaambia wananchi waacheakushiriki harakati za Chadema. Gafla watu wakaanza kugunaguna. Naye bila kujua akarudia maelekezo yake hayo. Ndipo kundi la wanachi wakamzomea kwa sauti kubwa.
Baada ya kuzomewa chenge akawaamuru police kuwakamata wazomeaji. Hapo ndipo khali ikawaka ghafla na lolote likichelea kutokea hadi mzee chenge alipotolewa chini ya escort ya FFU.

Kwa sasa Watu wa Bariadi wameapa kutodanganyika na liCCM tena.

Yeye aliwaamuru polisi kama nani? Some people are extremely.funny
 
Back
Top Bottom