Frenk wewe ni wakala wa shetani tena shetani aliye laaniwa unawezaje kusema uongo bila aibu mikutano yote ya mzee chenge mimi nilikuwepo tangu kata ya Isanga hadi leo kata ya Sapiwi amepokelewa kama mflume na wapiga kura wake na hajafanya mkutano Mwakibuga kama unavyo sema wewe kama umetumwa nakupatia pole mzee chenge ana nguvu sana Bariadi na mwaka kesho atashinda kwa kishindo mwambie aliye kutuma imekula kwako shetani mkubwa usiye kuwa na aibu!