Chenge azomewa (Mwakibuga, Bariadi)

Chenge azomewa (Mwakibuga, Bariadi)

walisema chuuu uwe ni nani onywanina uyu, wasukuma wa kinyantuzu bwana hadi raha lugha yao
 
Mzee chenge ni kiongozi wa watu aliyeletwa na Mungu hapa dunia kuja kusaidia watu wake na kweli anawasaidia anasomesha watoto wasio jiweza, anajenga zahanati, anachimba visima, amejenga mashule na kila aina ya maendeleo ameleta jimboni kwake hata mkimuonea wivu hamtakaweza kuubadili ukweli Mzee chenge atabaki kuwa kipenzi cha wanabariadi na ni mbunge wetu wa maisha Mzee chenge oyeeeeee


wale mabint wawili alio wagonga kwa gari damu zao zitamuandama mpaka mwisho..kuna yule binti aliyekuwa anasoma sauti akampangishia chumba Capri point mwanza unajua alichonfanyia baadae ya binti kuona anapoteza muda na li fataki!!! kiongozi huyu kila scandle lazima atajwe.Hana lolote chenge zaidi ya kuwa mzee wa visasi
 
Safi sana,lazima wananchi wabadilike sasa na kuhakikisha tunayafukuzilia mbali na kuyaondoa haya matezi dume yanayoifilisi nchi yetu na kuyafikisha katika vyombo vya sheria..
 
Mzee chenge ni kiongozi wa watu aliyeletwa na Mungu hapa dunia kuja kusaidia watu wake na kweli anawasaidia anasomesha watoto wasio jiweza, anajenga zahanati, anachimba visima, amejenga mashule na kila aina ya maendeleo ameleta jimboni kwake hata mkimuonea wivu hamtakaweza kuubadili ukweli Mzee chenge atabaki kuwa kipenzi cha wanabariadi na ni mbunge wetu wa maisha Mzee chenge oyeeeeee

Mungu yupi aliyemleta?Mungu siyo Mungu wa wezi.
 
Tatizo mnajidanganya wenyewe kisha mnadai mmeibiwa kura. CCM haiwezi kushindwa kupitia propaganda za JF. Fanyeni kazi ya siasa kwa watu
Kweli ma ccm ni janga la taifa,wizi wote na hujuma za chenge bado mnamtetea!Ama kweli ukiyashangaa ya Musa utayaona ya filauni.
 
Mzee chenge ni kiongozi wa watu aliyeletwa na Mungu hapa dunia kuja kusaidia watu wake na kweli anawasaidia anasomesha watoto wasio jiweza, anajenga zahanati, anachimba visima, amejenga mashule na kila aina ya maendeleo ameleta jimboni kwake hata mkimuonea wivu hamtakaweza kuubadili ukweli Mzee chenge atabaki kuwa kipenzi cha wanabariadi na ni mbunge wetu wa maisha Mzee chenge oyeeeeee

Huyi Mungu wa Chenge, nadhani ni Mungu wa wezi na majambazi.Maana Mungu anayeruhusu wizi, ufisadi, rushwa na mauaji duh!
 
Kama hata Ng'wakibuga wamefikia hatua waliyochukua basi tuko kwenye dakika za mwisho, maana kumbukumbu za historia ya Usukuma zinasema hilo ni moja ya eneo lililoaminika anayetoka huko uwezo wake wa kuchambua na kuelewa mambo ulikuwa mdogo (Mkasa huu au tukio hili limenikumbusha msemo wa " shamba o ng'wakibuga')
 
Mzee chenge ni kiongozi wa watu aliyeletwa na Mungu hapa dunia kuja kusaidia watu wake na kweli anawasaidia anasomesha watoto wasio jiweza, anajenga zahanati, anachimba visima, amejenga mashule na kila aina ya maendeleo ameleta jimboni kwake hata mkimuonea wivu hamtakaweza kuubadili ukweli Mzee chenge atabaki kuwa kipenzi cha wanabariadi na ni mbunge wetu wa maisha Mzee chenge oyeeeeee

Mungu yupo aloyemlet@?
 
Mbunge wa jimbo la Bariadi mashariki mze wavijisenti. Amekubwa na aibu ya kuzomewa na wanakijiji wa kijiji cha Mwakibuga jimboni kwake.

Dhahama hii imemkuta mbunge huyu (aliyetumbua dili ya rada 2003), alikuwa akihutubia wananchi wa kijiji hicho. Sakata lilianza pale Chenge alipowaambia wananchi waacheakushiriki harakati za Chadema. Gafla watu wakaanza kugunaguna. Naye bila kujua akarudia maelekezo yake hayo. Ndipo kundi la wanachi wakamzomea kwa sauti kubwa.
Baada ya kuzomewa chenge akawaamuru police kuwakamata wazomeaji. Hapo ndipo khali ikawaka ghafla na lolote likichelea kutokea hadi mzee chenge alipotolewa chini ya escort ya FFU.

Kwa sasa Watu wa Bariadi wameapa kutodanganyika na liCCM tena.
Huyu ni jambazi wa rasilimali na pesa za nchi,hakupaswa kuwa uraiani!alipaswa kuwa jela siku nyingi,huyu mzee ni hatari kuliko majambazi wanaotumia silaha,jela ndio makazi yake kama tungekuwa na uongozi usio oneana haya nilipata shock of my life kwamba ndio mliempa uandishi wa katiba pendekezwa,wa TZ nani aliewaroga jamani?
 
Frenk wewe ni wakala wa shetani tena shetani aliye laaniwa unawezaje kusema uongo bila aibu mikutano yote ya mzee chenge mimi nilikuwepo tangu kata ya Isanga hadi leo kata ya Sapiwi amepokelewa kama mflume na wapiga kura wake na hajafanya mkutano Mwakibuga kama unavyo sema wewe kama umetumwa nakupatia pole mzee chenge ana nguvu sana Bariadi na mwaka kesho atashinda kwa kishindo mwambie aliye kutuma imekula kwako shetani mkubwa usiye kuwa na aibu!

Du! Yaani fisadi anapokelewa kam mfalme! Dharau hii kwa Wanyantuzu.
 
Ni aibu ya aina gani, mtu anatuhuma nyingi na yuko kwenye kampeni za kusaidia wagombea kupitia ccm. Kama ccm wanasema hawana uhusiano na wezi kwa nini wamruhusu huyu kushirikiana nao! Their all thieves
 
Ha ha hapo ndipo ninapojivunia kuwa mnyantuzu! Majembe yale, na bado. Aende Halawa,Gibeshi, Nkindwabiye,matongo, Sapiwi,igegu, kule wanaugwadu nae tapeli yule lazma wamdunde labda aende na defender mia.....anaetaka kugombea jimbo hilo ebu tuwasiliane kwa kasanzu@live.com
Mimi huwa nambiwa vijana wanawaogopa huyu chenge na cheo eti niwashirikina hivyo siyo rahisi kuchukua form na kuwapinga.
 
Back
Top Bottom