fikirikwanza
JF-Expert Member
- Jan 25, 2012
- 7,452
- 3,073
walisema chuuu uwe ni nani onywanina uyu, wasukuma wa kinyantuzu bwana hadi raha lugha yao
Mzee chenge ni kiongozi wa watu aliyeletwa na Mungu hapa dunia kuja kusaidia watu wake na kweli anawasaidia anasomesha watoto wasio jiweza, anajenga zahanati, anachimba visima, amejenga mashule na kila aina ya maendeleo ameleta jimboni kwake hata mkimuonea wivu hamtakaweza kuubadili ukweli Mzee chenge atabaki kuwa kipenzi cha wanabariadi na ni mbunge wetu wa maisha Mzee chenge oyeeeeee
Yeye aliwaamuru polisi kama nani? Some people are extremely.funny
Mzee chenge ni kiongozi wa watu aliyeletwa na Mungu hapa dunia kuja kusaidia watu wake na kweli anawasaidia anasomesha watoto wasio jiweza, anajenga zahanati, anachimba visima, amejenga mashule na kila aina ya maendeleo ameleta jimboni kwake hata mkimuonea wivu hamtakaweza kuubadili ukweli Mzee chenge atabaki kuwa kipenzi cha wanabariadi na ni mbunge wetu wa maisha Mzee chenge oyeeeeee
Kweli ma ccm ni janga la taifa,wizi wote na hujuma za chenge bado mnamtetea!Ama kweli ukiyashangaa ya Musa utayaona ya filauni.Tatizo mnajidanganya wenyewe kisha mnadai mmeibiwa kura. CCM haiwezi kushindwa kupitia propaganda za JF. Fanyeni kazi ya siasa kwa watu
Mzee chenge ni kiongozi wa watu aliyeletwa na Mungu hapa dunia kuja kusaidia watu wake na kweli anawasaidia anasomesha watoto wasio jiweza, anajenga zahanati, anachimba visima, amejenga mashule na kila aina ya maendeleo ameleta jimboni kwake hata mkimuonea wivu hamtakaweza kuubadili ukweli Mzee chenge atabaki kuwa kipenzi cha wanabariadi na ni mbunge wetu wa maisha Mzee chenge oyeeeeee
Mzee chenge ni kiongozi wa watu aliyeletwa na Mungu hapa dunia kuja kusaidia watu wake na kweli anawasaidia anasomesha watoto wasio jiweza, anajenga zahanati, anachimba visima, amejenga mashule na kila aina ya maendeleo ameleta jimboni kwake hata mkimuonea wivu hamtakaweza kuubadili ukweli Mzee chenge atabaki kuwa kipenzi cha wanabariadi na ni mbunge wetu wa maisha Mzee chenge oyeeeeee
aliwaamuru polisi kama afisa tajiri wa serikari
Huyu ni jambazi wa rasilimali na pesa za nchi,hakupaswa kuwa uraiani!alipaswa kuwa jela siku nyingi,huyu mzee ni hatari kuliko majambazi wanaotumia silaha,jela ndio makazi yake kama tungekuwa na uongozi usio oneana haya nilipata shock of my life kwamba ndio mliempa uandishi wa katiba pendekezwa,wa TZ nani aliewaroga jamani?Mbunge wa jimbo la Bariadi mashariki mze wavijisenti. Amekubwa na aibu ya kuzomewa na wanakijiji wa kijiji cha Mwakibuga jimboni kwake.
Dhahama hii imemkuta mbunge huyu (aliyetumbua dili ya rada 2003), alikuwa akihutubia wananchi wa kijiji hicho. Sakata lilianza pale Chenge alipowaambia wananchi waacheakushiriki harakati za Chadema. Gafla watu wakaanza kugunaguna. Naye bila kujua akarudia maelekezo yake hayo. Ndipo kundi la wanachi wakamzomea kwa sauti kubwa.
Baada ya kuzomewa chenge akawaamuru police kuwakamata wazomeaji. Hapo ndipo khali ikawaka ghafla na lolote likichelea kutokea hadi mzee chenge alipotolewa chini ya escort ya FFU.
Kwa sasa Watu wa Bariadi wameapa kutodanganyika na liCCM tena.
Frenk wewe ni wakala wa shetani tena shetani aliye laaniwa unawezaje kusema uongo bila aibu mikutano yote ya mzee chenge mimi nilikuwepo tangu kata ya Isanga hadi leo kata ya Sapiwi amepokelewa kama mflume na wapiga kura wake na hajafanya mkutano Mwakibuga kama unavyo sema wewe kama umetumwa nakupatia pole mzee chenge ana nguvu sana Bariadi na mwaka kesho atashinda kwa kishindo mwambie aliye kutuma imekula kwako shetani mkubwa usiye kuwa na aibu!
Mimi huwa nambiwa vijana wanawaogopa huyu chenge na cheo eti niwashirikina hivyo siyo rahisi kuchukua form na kuwapinga.Ha ha hapo ndipo ninapojivunia kuwa mnyantuzu! Majembe yale, na bado. Aende Halawa,Gibeshi, Nkindwabiye,matongo, Sapiwi,igegu, kule wanaugwadu nae tapeli yule lazma wamdunde labda aende na defender mia.....anaetaka kugombea jimbo hilo ebu tuwasiliane kwa kasanzu@live.com