Chenge akemea ufisadi

Ufisadi ulishapoteza maana yake toka wale vinara wa kuusema walipogeuka watetezi wa mafisadi. Watu pekee ninaoamini kwamba wanachukia ufisadi kutoka moyoni ni Dr. Sla na Magufuli tu. Wengine ni maigizo tu.
Kweli Mkuu.. Magufuli Hana kesi yeyote hapa chini ya jua, anaukemea Ufisadi hasa wa nyumba za serikali kwa Nguvu zote.
 
Hapa ndipo ninapokili rais wangu ana nature hebu ona chenge anavyoweweseka hakyanani mchawi mpe mwanao akulele na bado ameanza kujitumbua hyo
 
Kuna wakati hata shetani anaenda kwa mungu kuuliza maana mambo wanayofanya binadamu yanamshangaza
 
Awe mkweli tu, atawashughulikia watakao piga dili bila kumshirikisha
 
Eyi nini? Mtemi Andrew Chenge huyo huyo au mwingine? Labda hao jamaa wamesahau kuwa yeye ni "Mtemi"
 
Well he has experience na anajua mingo zote so its easy
 
Mhhh!! Hata shetani akizeeka anakuwa malaika.!
Mwl. Nyerere akiwahutubia watawa wa Maryknoll huko Marekani wa kati wa utawala John Kennedy aliwaambia "Hata shetani anaweza kunukuu biblia kama itakidhi hoja yake" Chenge naye amefanya hivyo ili aonekane anaunga mkono upasuaji majipu ya ufusadi na uhujumu uchumi.
 
Pola nyaga tobhonele ngoko!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…