kingukitano
JF-Expert Member
- Jul 18, 2011
- 1,971
- 497
Ndugu zangu ukweli tuuseme Change ametaja maeneo ambayo yamewagusa Watanzania hasa ushirika....Kilimo....Elimu.....na Malengo ya kitaifa ya kiuchumi.
Hakika kwa dhati ya moyo wangu kumbe binge hili lilikua serious.Hongera sana Change kwa umahiri.hongera wajumbe Hongera Sitta.
Natamani Rasimu hii iletwe tuipitishe kwa Kishindo
No Mimi mzalendo
Kingukitano
Tandaimba
Hakika kwa dhati ya moyo wangu kumbe binge hili lilikua serious.Hongera sana Change kwa umahiri.hongera wajumbe Hongera Sitta.
Natamani Rasimu hii iletwe tuipitishe kwa Kishindo
No Mimi mzalendo
Kingukitano
Tandaimba