Hii ni namba witiri:
inatokea mara 6 kwa siku katika masaa 24 ya mtindo wa saa ya ukutani yaani
(1),2,(3),4,(5),6,(7),8,(9),10,(11),12
inatokea mara 4 kwa wiki (siku saba) yaani
(1),2,(3),4,(5),6,(7)
inatokea mara 2 tu kwa mwezi, kwenye mwezi kuna wiki 4 tu yaani wiki ya (1), 2, (3) na 4
inatokea mara 1 tu kwa mwaka mmoja yaani (1)
MAMMAMIA am i correct?
Hii ni namba witiri:
inatokea mara 6 kwa siku katika masaa 24 ya mtindo wa saa ya ukutani yaani
(1),2,(3),4,(5),6,(7),8,(9),10,(11),12
inatokea mara 4 kwa wiki (siku saba) yaani
(1),2,(3),4,(5),6,(7)
inatokea mara 2 tu kwa mwezi, kwenye mwezi kuna wiki 4 tu yaani wiki ya (1), 2, (3) na 4
inatokea mara 1 tu kwa mwaka mmoja yaani (1)
MAMMAMIA am i correct?
Good thinking, Lakini moja ambayo ipo kila mwaka sio witiri ni tasa
Duuuh, nina kikao mara moja ila wakishajibu wengine me nitakuja kusahihisha, si unajua me ndo mwalimu pekee nisiegoma hapa JF
Ni kitu gani kipo
mara SITA kwa siku
mara NNE kwa wiki
mara MBILI kwa mwezi
mara MOJA kwa mwaka?
AMEPATA MKUU.***
Vp MAMMAMIA dogo anasemaje ? Huyu jamaa kapata au katupeleka chaka?!
Sisi wengine hatusumbuagi vichwa tunasubiri jibu sahihi tu.
You are correct WAHEED and well explained. HONGERA SANA!Hii ni namba witiri:
inatokea mara 6 kwa siku katika masaa 24 ya mtindo wa saa ya ukutani yaani
(1),2,(3),4,(5),6,(7),8,(9),10,(11),12
inatokea mara 4 kwa wiki (siku saba) yaani
(1),2,(3),4,(5),6,(7)
inatokea mara 2 tu kwa mwezi, kwenye mwezi kuna wiki 4 tu yaani wiki ya (1), 2, (3) na 4
inatokea mara 1 tu kwa mwaka mmoja yaani (1) MAMMAMIA am i correct?