Chemsha Bongo

Chemsha Bongo

Bana eeh mi sitaki kuumiza kichwa ktk jukwaa hili, nimekuja kuumize mbavu zangu tu miye.
 
Hii ni namba witiri:
inatokea mara 6 kwa siku katika masaa 24 ya mtindo wa saa ya ukutani yaani
(1),2,(3),4,(5),6,(7),8,(9),10,(11),12
inatokea mara 4 kwa wiki (siku saba) yaani
(1),2,(3),4,(5),6,(7)
inatokea mara 2 tu kwa mwezi, kwenye mwezi kuna wiki 4 tu yaani wiki ya (1), 2, (3) na 4
inatokea mara 1 tu kwa mwaka mmoja yaani (1)
MAMMAMIA am i correct?

***
Vp MAMMAMIA dogo anasemaje ? Huyu jamaa kapata au katupeleka chaka?!
Sisi wengine hatusumbuagi vichwa tunasubiri jibu sahihi tu.
 
Hii ni namba witiri:
inatokea mara 6 kwa siku katika masaa 24 ya mtindo wa saa ya ukutani yaani
(1),2,(3),4,(5),6,(7),8,(9),10,(11),12
inatokea mara 4 kwa wiki (siku saba) yaani
(1),2,(3),4,(5),6,(7)
inatokea mara 2 tu kwa mwezi, kwenye mwezi kuna wiki 4 tu yaani wiki ya (1), 2, (3) na 4
inatokea mara 1 tu kwa mwaka mmoja yaani (1)
MAMMAMIA am i correct?

Good thinking, Lakini moja ambayo ipo kila mwaka sio witiri ni tasa
 
Mh, nilitegemea kucheka lakini badala yake nimejikuta nikiumia kichwa...
 
Kichwa loading.....

Netwrk about 2 fail.......

Netwrk problem.......

Loadining failed;(
 
***
Vp MAMMAMIA dogo anasemaje ? Huyu jamaa kapata au katupeleka chaka?!
Sisi wengine hatusumbuagi vichwa tunasubiri jibu sahihi tu.
AMEPATA MKUU.

Hii ni namba witiri:
inatokea mara 6 kwa siku katika masaa 24 ya mtindo wa saa ya ukutani yaani
(1),2,(3),4,(5),6,(7),8,(9),10,(11),12
inatokea mara 4 kwa wiki (siku saba) yaani
(1),2,(3),4,(5),6,(7)
inatokea mara 2 tu kwa mwezi, kwenye mwezi kuna wiki 4 tu yaani wiki ya (1), 2, (3) na 4
inatokea mara 1 tu kwa mwaka mmoja yaani (1) MAMMAMIA am i correct?
You are correct WAHEED and well explained. HONGERA SANA!
:violin::clap2::A S thumbs_up::closed_2:
 
Back
Top Bottom