Chemsha bongo

MAMMAMIA

JF-Expert Member
Feb 26, 2008
3,811
1,604
Kitu gani kinawekwa mezani, kinakatwa, kinaliwa, kinarambwa/kinalambwa na kinakombwa lakini hakiingizwi mdomoni?
 
Kitu gani kinawekwa mezani, kinakatwa, kinaliwa, kinarambwa/kinalambwa na kinakombwa lakini hakiingizwi mdomoni?
hapo kwenye red kuna matatizo..... inawezekanaje kitu kiwe kinaliwa na kukombwa then kisiingizwe mdomoni?
 
Kitu ambacho hukatwa, hugawanwa, huliwa na kukombwa, hulambwa bila ya kutiwa mdomoni ni KARATA
 
Back
Top Bottom