wa stendi
JF-Expert Member
- Jul 7, 2016
- 26,177
- 28,608
Poleni na kazi wakuu,
Hapa kuna chemsha bongo.
Nilipewa sumu nimwekee paka nikaifungua nikaishika kwa mikono kisha nikaweka kwenye sahani, nilipomaliza nikaifunga vizuri kwenda kuihifadhi, kisha nikaenda bombani nikafungua koki nikanawa mikono vizuri tena kwa sabuni kisha nikafunga koki nikaenda kula ugali, pale pale tumbo likaanza kuuma nimeenda kupima doctor kasema nimekula sumu.
Hapa swali ni je sumu ilitoka wapi?
Hapa kuna chemsha bongo.
Nilipewa sumu nimwekee paka nikaifungua nikaishika kwa mikono kisha nikaweka kwenye sahani, nilipomaliza nikaifunga vizuri kwenda kuihifadhi, kisha nikaenda bombani nikafungua koki nikanawa mikono vizuri tena kwa sabuni kisha nikafunga koki nikaenda kula ugali, pale pale tumbo likaanza kuuma nimeenda kupima doctor kasema nimekula sumu.
Hapa swali ni je sumu ilitoka wapi?