Julius Husseni
JF-Expert Member
- Sep 9, 2016
- 1,435
- 1,195
Lengo langu nivuke mto ila katikati Kuna mlinzi na ua analala kwa dakika 5 nikitaka kuvuka anakua ashaamka. Swali nitafanyaje nipate kuvuka mto ?
Jibu swali mkuuhuyo mlinzi jinsia gan
nenda hadi katikati akikaribia kuamka geuka na anza kukimbia ukirudi ulipotoka jamaa atajua umeshavuka unakimbia hvyo atakudaka na kukupeleka upande uliokua unataka kwenda.....Lengo langu nivuke mto ila katikati Kuna mlinzi na ua analala kwa dakika 5 nikitaka kuvuka anakua ashaamka. Swali nitafanyaje nipate kuvuka mto ?
Mkuu unakaribia kupatanenda hadi katikati akikaribia kuamka geuka na anza kukimbia ukirudi ulipotoka jamaa atajua umeshavuka unakimbia hvyo atakudaka na kukupeleka upande uliokua unataka kwenda.....
Chemsha bongo za darasa la tatu c ndo unaleta leo mvi zishaanza kutokaLengo langu nivuke mto ila katikati Kuna mlinzi na ua analala kwa dakika 5 nikitaka kuvuka anakua ashaamka. Swali nitafanyaje nipate kuvuka mto ?
Wewe huna ubongo ? Iyo ni kwa wenye ubongo mkuuChemsha bongo za darasa la tatu c ndo unaleta leo mvi zishaanza kutoka
wa tz wababaishaji sana aisee...sasa ushaanza leta ujanja janjaMkuu unakaribia kupata
Mto unavuka kwa gari ?Achukue chombo cha usafiri aende kinyume nyume (reverse) atakapofika mlinzi ataamka na kumwambia arudi alipotoka.
Alipotoka tafsiri yake ni nyuma ya chombo, hivyo atageuza chombo na kuendelea na safari
Jitaidi upate mkuu vocha is for youwa tz wababaishaji sana aisee...sasa ushaanza leta ujanja janja
aaah........................... mkuu acha dhulma au nawe ni kada wa chama chetu kileJitaidi upate mkuu vocha is for you
Chombo cha mtoni..ni ngalawa, jahazi, boti???...nimepata mkuu nipe ushindi wangu.Mto unavuka kwa gari ?

Hahahahhahahaaaah........................... mkuu acha dhulma au nawe ni kada wa chama chetu kile
Kwa kuogelea mkuu yani bila mtumbwi au botiChombo cha mtoni..ni ngalawa, jahazi, boti???...nimepata mkuu nipe ushindi wangu.
Nimesema chombo kwa sababu hukutaja chombo gani kitumike katika chemsha bongo yako![]()
![]()