Julius Husseni
JF-Expert Member
- Sep 9, 2016
- 1,435
- 1,195
- Thread starter
- #41
Mhmtekenye
Mhmtekenye
Mto uko shwari tu hamna mambaKabla sijajibu naomba kuuliza!
...Mto hauna Mamba!???
unaenda mpaka alipo wkt huo amelala unamuuwa unapita tena kwa uhuru au unamfunga kamba kama anamtumbwi unachukua kasia ama boti chukua ufunguoLengo langu nivuke mto ila katikati Kuna mlinzi na ua analala kwa dakika 5 nikitaka kuvuka anakua ashaamka. Swali nitafanyaje nipate kuvuka mto ?
Chemsha yako haijakaa vizuri.Soma vizur Chemsha
Janja janja[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]wa tz wababaishaji sana aisee...sasa ushaanza leta ujanja janja
Hawa ndo wamekula pesa ya rambirambiJitaidi upate mkuu vocha is for you
Hahahah Jibu mkuuHawa ndo wamekula pesa ya rambirambi
Mkuu wewe ndo hujaielewa tu usipoelewa wap nkufafanulieChemsha yako haijakaa vizuri.
Kasema chombo sio gariMto unavuka kwa gari ?
Kwanza hapo uliposema ukitaka kuvuka anakuwa ameshamka.Mkuu wewe ndo hujaielewa tu usipoelewa wap nkufafanulie
Sasa Kuna orodha ya watu kama 8 wote wamepata nimpe nani? Maoni yenu wadausi ntamuomba tu mlinzi nivuke zangu mto kwa amani!! i hope hawezi kunikataza!!!
just kuvuka tu jamani!!?
Andika namba z vocha umu atakae wahi ndo mshindiSasa Kuna orodha ya watu kama 8 wote wamepata nimpe nani? Maoni yenu wadau
Huoni kua wengine watakua wametendewa isiyo ? Istoshe mitandao haifanani mwigne tgo mwingne eatel zantel halotel nkAndika namba z vocha umu atakae wahi ndo mshindi
mtoni mtongani.kwa azizi allyamelala kwenye mto wa maji au wa kitandani?!
hiyo ni sandakalawe mkuu!Andika namba z vocha umu atakae wahi ndo mshindi