Mzizi wa Mbuyu
JF-Expert Member
- May 15, 2009
- 7,323
- 6,810
Ilikuwa katika hifadi ya wanyama ya kreta ya Ngorongoro.
Twiga mmoja aliekuwa amegongwa na gari la watalii, alikuwa anachechemea na kuangalia pande mbalimbali za nchi akiogopa kushambuliwa na wanyama wakali wala nyama.
Ghafla wakatokea Simba, Chui na Fisi,... kwa kujitahidi Twiga aliruka juu ya jiwe kuubwa lenye urefu wa futi6 kwenda juu.
Sasa swali, katika wanyama hao watatu (Simba, Chui na Fisi) yupi anauwezo wa kuruka juu futi6?
Twiga mmoja aliekuwa amegongwa na gari la watalii, alikuwa anachechemea na kuangalia pande mbalimbali za nchi akiogopa kushambuliwa na wanyama wakali wala nyama.
Ghafla wakatokea Simba, Chui na Fisi,... kwa kujitahidi Twiga aliruka juu ya jiwe kuubwa lenye urefu wa futi6 kwenda juu.
Sasa swali, katika wanyama hao watatu (Simba, Chui na Fisi) yupi anauwezo wa kuruka juu futi6?