Kuna kumbukumbu. Yaelekea Ulishakula/kufika kwenye hii hotel. Taja angalau iko mji gani maarufu sana hapa Tanzania
View attachment 226250
mkuu umepatia na nishalala hapo night 2...wana room kubwa kulikoInaitwa Bugenvilia na ipo karatu
Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
ashura
ha ha ha haha bora nimekukumbushahahaha umenikumbusha mbali....nilikuwa na demu wangu anaitwa hivyo...ila nikabadilisha jina nikawa namuita arushaa.
Kuna kumbukumbu. Yaelekea Ulishakula/kufika kwenye hii hotel. Taja angalau iko mji gani maarufu sana hapa Tanzania
View attachment 226250
ha ha ha haha bora nimekukumbusha
hayaa mjopoo hapa matejoo...kaza moyo pub