"Chemsha bongo enzi zile"

Kuna kuku wa5 wanakula pumba,kisha ikapita ndege juu.je,macho mangapi ya kuku yataangalia juu?
Hakuna kuku hata mmoja atayeangalia juu kwani kuku huangalia kushoto au kulia tu.
 
Au hii,una machungwa matano kapuni.kuna watoto watano wamekuzunguka na inabidi kila mmoja apate chungwa moja.Utawezaje kuwapatia kila mmoja chungwa moja na chungwa moja libaki kapuni?
Wape watoto wanne chungwa moja moja,na mtoto wa tano mpe chungwa la tano pamoja na kikapu bila kulitoa chungwa kutoka kapuni.
 
Kuku huangalia juu kwa jicho moja upande mmoja ingawa ana macho mawili.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…