CHEMSHA BONGO 009
1. Nini maana ya neno mfumuko wa bei?
2. Ni nini tofauti ya soko huria na soko linalo dhubitiwa
3. Nchi inayoagiaza bidhaa kwa wingi nje kuliko inavyouza,inakabiliwa na nini?
4. Iwapo bei ya bidhaa inapanda na mahitaji yanapungua,hii inaotwaje katika uchumi