Lusungo
JF-Expert Member
- Jan 4, 2014
- 29,500
- 42,588
Hakuna muda maalumu wa mtu kuamua kuandika hoja zake nimeibuka maana aliyekuwa anamake sense ulireport akawa banned ulimwita mwanamke naye kakutukana
Unadandia train kwa mbele ukiambiwa hujui kitu unawaka huyo mtu hakunitukana mie kwa taarifa yako...