Kiranga
Platinum Member
- Jan 29, 2009
- 71,257
- 105,379
Hahaaa I tell you, if they could cast a spell on you, they would.
They would need Simone's sass and Satchmo's bass brass
To even front they could break the glass to touch Kiranga's class.
Hahaaa I tell you, if they could cast a spell on you, they would.
They would need Simone's sass and Satchmo's bass brass
To even front they could break the glass to touch Kiranga's class.
Ni spatakase huyo watu wana Id nyingiii lol
Chuki za nini wakati tunakaa pazuri...tunalala pazuri...tunakula vizuri...bima za afya na magari tunazo tumchukie mtu ni breadwinner wetu?
ndo point yako....!
kweli kubwa jing.a
samahani lakini
Lakini mlimshambulia Nyaningabi kwasababu tu kaandika thread kwa kiingereza wee na Jerrymsigwa, Spartakas kutetea ikawa kosa mara mseme ndiye Nyaningabi kwasababu tu hamko tayari kuona mwingine akisemewa na sasa huyo binamu yako Dinazarde sijui mpenzi anasema mie Desert Storm ndiye Spartakas rubbish ukosefu wa hoja
Hivi wengine humu wakitetewa inakuwa ni jamaa huyohuyo, tafadhali sana naona unapenda midomo kwahiyo wewe ni Lusingo, ni Jerrymsigwa au hao wengine ambao hukushabikia? usidhani ni wewe tu unapata watetezi bali na wengine pia unatabia za uswahili mdomo mrefu sasa naona kwanini Spartakas alikutukana unapenda kweli attention ushabikiwe wewe hukupata love ya wazazi utotoni unakuja kutafuta love Jamii Forum? Maana wengine wakipata washabiki inakuwa ni yuleyule kwenye ID nyingine jiheshimu binti
Ni mjinga kwelikweli maana hajui maisha ya watu anaojibishana nao mie siwezi muita mtu fukara wakati simjui maana usimtukane usie mjua, huyu anachuki na watu wa nje yawekana walimchukulia demu maana Nyaningabi kuandika Spartakasi kampa vidonge maana alianza tukana watu wa nje ni wajivuni, hata kwenye thread za uraia pacha yeye na Jerrymsigwa ni miongoni wa wapingaji na maelezo yao hayana mantiki hii inaonyesha wana deep rooted hatred against Tanzanians living abroad
Uki connect dots utagundua huyu mtu ingawa ni Mara ya kwanza kumwona hapa na hatumjui lakini yeye anatujua vyema...
Anajua mpaka mambo ya uraia pacha na thread zote tunazopita hivi binamu hujagundua tuuu?
Haya tumekusikia kwahiyo?
vijana, hamuogopi kupewa likizo?..
Hata mi nimemsikia kwa hiyo anatakajee!!!!!!!!!!!tungemshambulia Nyani na alivyo mbishi unadhan pangetosha hapa,huyu jamaa anatujua kuzidi tunavyojijuaa kumbe kina HOD wengi wanaofatiliwaaaa
Naona unatujua vyema...
Mbona umeibuka ghafla baada ya huyo mwingine kwenda likizo ya bila malipo?
Usitake kuanzisha mnakasha hapa hayo ya uraia pacha ungekua jasiri ungetetea kule kule kwenye thread...
BTW siwezi mchukia mtu kwakuwa sina sababu ya kufanya hivyo...
Hongera kwa mda mchafu ulonao wa kutumia id lukuki...
Anawasha moto kuzima hawezi lol lol
Hata mi nimemsikia kwa hiyo anatakajee!!!!!!!!!!!tungemshambulia Nyani na alivyo mbishi unadhan pangetosha hapa,huyu jamaa anatujua kuzidi tunavyojijuaa kumbe kina HOD wengi wanaofatiliwaaaa
Nakuonea huruma kwa muda mchafu ulonao wa kutumia multiple id na kuandika usichokijua....
Wewe ndo mtetezi humu soma posts zangu zote then unambie wapi nimetetea mtu au una maruweruwe? Wengine hatunaga mda huo wewe na id zako lukuki na uliekosa kazi ndo unatetea ujinga