Chemistry

Chemistry

Hahaha comrade naona umeamua kabisa kuiita hiyo English - English Dictionary...... Where the hell is Blueray when I need him the most.

Ah Comrade acha tu bana. Kitu ukionacho wewe si kigumu kumbe kwa mwingine ni pig Latin. Maisha ndivyo yalivyo lakini.

Halafu hii mada ni ya kemsitri sasa vita sijui imetokea wapi tena. Kaazi kweli kweli.
 
Hata mi simuelewi mwenye uzi kimyaa wala kiingreza hakina ubaya kuletwaa humu,lakin mi nikamuambia mtu mwingine mwenye uzi heeeeee yakadandiaa mengine kwa mbelee ndio uonapo hapaaaa

Basi rafiki achana na mambo yaso na tija. Mtatukanana wee mwishowe utaishia kuwahisi na wengine ambao hata hawahusiki kabisa na hayo matusi. Nimelala, nimeamka nyie bado mnatukanana tu.

Just let it slide.
 
Basi rafiki achana na mambo yaso na tija. Mtatukanana wee mwishowe utaishia kuwahisi na wengine ambao hata hawahusiki kabisa na hayo matusi. Nimelala, nimeamka nyie bado mnatukanana tu.

Just let it slide.

Hahhhahahaha aisee eti umelala umeamka lakin bado si unajua wabongo hua hatuishiwi maneno nishaachana nae rafikii umeamka poaa
 
Hahhhahahaha aisee eti umelala umeamka lakin bado si unajua wabongo hua hatuishiwi maneno nishaachana nae rafikii umeamka poaa

Poa kabisa tena mwenye nishati ya kutosha kabisa kupiga boksi kama sina akili nzuri.
 
Ah Comrade acha tu bana. Kitu ukionacho wewe si kigumu kumbe kwa mwingine ni pig Latin. Maisha ndivyo yalivyo lakini.

Halafu hii mada ni ya kemsitri sasa vita sijui imetokea wapi tena. Kaazi kweli kweli.

Ulichosahau hapa MMU watu wanapenda mada za kibaiolojia. Watu wamebobea kwenye reproduction system. Kemia na fizikia hawataki kabisa kuisikia hapa, hata kama umeitumia kimapenzi.

BTW kuna hata mmoja kajibu hoja yako?
 
Hayaa raisi wa wabeba boksii piga boksiiii kakaa acha sie tupige vumbi huku linatuuaa

Hii sredi ilipoibuliwa upya jana ilikuwa na kurasa mbili (au niseme moja na nusu). Jana baada ya kufukuliwa ikafikia kurasa sita.

Nimeenda kulala na kuiacha ikiwa bado na hizo kurasa sita. Nimeamka, nimeoga, nimekula staftahi, nikawasha kipakatalishi changu, hamadi, sredi imefikisha kurasa tisa!

Badala ya kujadili hoja watu wameigeuza uwanja wa mipasho, madongo, na vidole juu. Ama kweli al junun funun!!!!
 
Hii sredi ilipoibuliwa upya jana ilikuwa na kurasa mbili (au niseme moja na nusu). Jana baada ya kufukuliwa ikafikia kurasa sita.

Nimeenda kulala na kuiacha ikiwa bado na hizo kurasa sita. Nimeamka, nimeoga, nimekula staftahi, nikawasha kipakatalishi changu, hamadi, sredi imefikisha kurasa tisa!

Badala ya kujadili hoja watu wameigeuza uwanja wa mipasho, madongo, na vidole juu. Ama kweli al junun funun!!!!

Umeanzaa tena hahahahhhahhaaa! !!!!!anzisha upya basi tena upya hii thread yako!!!!!!
 
On the very first page, contribution was done in queen's language. My English is the so called broken, can I also chip in?
Anyway the white men did it better to bring about contract marriage due to the quick "used to" between partners.
With me I'm constructing a house with two "Master bedrooms " to evacuate myself with "used to " situation! I will be meeting my wife once a week!
"Hatutachokana "
 
Back
Top Bottom