M mbingunikwetu JF-Expert Member Feb 17, 2015 13,664 18,040 Jan 1, 2024 #1 Timu Iko hoi taaban! Suluhisho pekee ni kumrudishia timu yake. Vinginevyo endeleeni kula jeuri yenu!
NAMBA MOJA AJAYE NCHINI JF-Expert Member Oct 29, 2019 8,535 17,484 Jan 1, 2024 #2 Hao jamaa na man UTD nimeshindwa kuwaelewa! Wachezaji wazuri kuliko hata was Liverpool lakini wanawauza wazoefu halafu wanaleta wengine ambao ni WA kawaida wanashindwa ku perform!!
Hao jamaa na man UTD nimeshindwa kuwaelewa! Wachezaji wazuri kuliko hata was Liverpool lakini wanawauza wazoefu halafu wanaleta wengine ambao ni WA kawaida wanashindwa ku perform!!
Saguda47 JF-Expert Member May 1, 2016 10,775 18,652 Jan 1, 2024 #4 Hata mimi naweza kuamini! Huyo ndiyo alikuwa "The blue" mwenyewe
Southern Highland JF-Expert Member Mar 22, 2017 13,199 21,540 Jan 1, 2024 #5 Hebu acheni pumba nyie. Mnaijua karma nyie? Karma si infewata wenye mamlaka waliosimamia uuzwaji wa timu kuliko Chelsea yenyewe
Hebu acheni pumba nyie. Mnaijua karma nyie? Karma si infewata wenye mamlaka waliosimamia uuzwaji wa timu kuliko Chelsea yenyewe
Dabil JF-Expert Member Sep 30, 2021 5,885 13,263 Jan 1, 2024 #6 Sawa,lakini tutakuja kumaliza hiyo nafasi anayokalia Arsenal sasa hivi Sent using Jamii Forums mobile app
Sawa,lakini tutakuja kumaliza hiyo nafasi anayokalia Arsenal sasa hivi Sent using Jamii Forums mobile app
OllaChuga Oc JF-Expert Member Jul 4, 2016 21,128 24,066 Jan 1, 2024 #7 Achana na Chelsea wewe pika makande ule