Chum Chang
JF-Expert Member
- Apr 2, 2012
- 999
- 272
- Thread starter
- #61
namshauri JK sasa afukuze wote nchi ibaki bila mawaziri maana ni wale wale ambao wakiharibu hapa wanapelekwa hapa.
tuwakatae wote au kwa mara ya kwanza achague baraza lote toka CDM na Spika awe Marando uone kazi itavyokuwa sahihi.
Wote waliotajwa kwa wizi kipindi hiki na na tangu JK aingia madarakani HATUWATAKI. Wakija huku tutawazomea maana kwanza Tayariwameshaumbuliwa bungeni kuwa wanyongwe nasi hatutakiwa watu wenye muder.
Bora iwe hivyo