Chekeche jipya la mawaziri lanunikia muda si mrefu

Nimeshachoka hata kufikiria na kutarajia mapya manake bila 2015 hakuna jipya vyovyote atakavyoamua poa hata akiamua kumweka Irizi One poa bana.

Duh Kiona usikate tamaa TIME WILL TELL usikubali kushindwa mapema kiasi hicho.
kukata tamaa ni kukubali kushindwa

Kitanda chenye kunguni hata ubadilishe shuka kunguni watakuwepo tu

Ili ukabiliane nao hao kunguni inabidi ukae chini na utafute dawa mbadala ya kuwadhiti au kuwaondoa kabisa

Fukuza waote hao wezi wakunbwa labda Magufuli tu abaki

Well Magufuli jamaa hata mimi namkubali japo mda mwengine anachemsha zile za kibinadamu si zile za kishetani

weengi mno jamani hamsini!

Na uwenda wakaongezeka toka watoto hadi wajukuu si unajua kula mbakishie mwana na mjukuu

Mawaziri hamsini wa nini ?.

Hhahaa kwa ili kuna ulazima wa kuwaangalia wenzetu na utawala wao unaondana na wakati
 
Hoja hapa ni nini ? Nilidhani unaleta uchambuzi kumbe unawasilisha baraza lililopo !!!!
 
Mkuu chum chang ni bora al shabab kuliko kundi la laana kumu hao,bora wafe na tusiomboloze.
Tusiwaombee wafe.tuwaombee uhai mrefu waje kusutwa na
waliyoyafanya,waje wasemwe na mifupa yao......Tusiwambee hiyo dua ni mapema
kwani kizazi chao uwenda kikawa bora zaidi kilichojifunza na kuelewa vyema toka kwa wapiganaji wa ukweli wenye imani ya Tanzania ya leo na kesho

my opinion, aache tuu maisha yaendelee kama yalivyo! wabongo watakapopata ubongo ndio abadili, kwa sasa muda bado! si mnasema ni genge la wezi, sasa amuweke mtu msafi ili amchafue?

Msafi atasafisha palipo chafuka soma hii au vuta taaswira kwa Mh Magufuli kesha tumikia wizara nyingi na

kila anapokwenda anasafisha japo wachache hawalioni hilo..........Nani alieva nguo za kike kwenda kufichua

uoza pale kivukoni 2002..Nani aliepanda boti kwenda kukamata wavuvi haramu tena alihatarisha maisha yake

kwa uchungu wa watanzania walio wengi.. Alafu leo mtu anasema maandiko yamesema mwanamke

atajifungua kwa uchungu na mwanaume atakula kwa jasho lake sipingi maandiko katu abadani..Lakini nina

uwakika Mh Lusiundwe hajui kwa nini maandiko yameandikwa hivyo kwa wenye kusoma ameshindwa

kutofautisha kati uchungu wa kuzaa na kutokwa kwa jasho!

jasho si lazima mwenye uchungu azae...Uchungu ni maumivu makali akiwa wa kike au wakiume From 2day we

gonna lets say 2ther
WACHIA NAFASI TUIJENGE NCHI YETU
 
karibu robo ya wabunge wa ccm ni mawaziri. kazi kweli kweli sasa 2015 cdm ikiongeza idadi ya wabunge kufikia 160 inamaana wabunge wote wa ccm watakuwa mawaziri

Mkuu hapo kwenye red, nakuvulia kofia. I salute you. Like It!!!!
 
Majizi haya na mwenyekiti wa kikao cha majizi ndo jizi la kutupwa
 
kundi la magamba wezi
mungu waaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaangu!
 
mawaziri 50, makatibu wakuu35+,marais 5,maraisi wasitaafu5+,mawaziri wakuu wastaafu akiwemo aliyejiuzuru mmoja,majaji wastaafu dah nk nk wote wanakula ka pato ka taifa ,apa ujaweka mali walizopora ktk epa,kagoda,iptl,dowans nk nk dah! Tz bwana!
 
Washezi wakubwa hao waende zao! lakini shida ipo kwa mfuga mbwa ndo maana mbwa wake wanafanya madudu! kama mwenye mbwa angekuwa sirious basi hao mbwa wasingeiiba mboga jikoni na mwenye mbwa akafurahi tu! R.P.I CCCCCM!
 
Tanzania oyeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee jamani tukale wapi kwa Obama au Rwanda?
 
Mawaziri hamsini wa nini ?.
Kweli jamani ni wengi sana hivi hilo baraza la Mawaziri la Obama navyojua hawavuki 14 km kaongeza basi hata 20 hawatafika.
km ni fadhila anawapa sasa basi awapunyue hasa mtu ananunua nyumba dola 700,000 anasema hapana ni dola 410,000 Duuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu
 
NANI AWEPO NANI ASIWEPO NA KWA NINI?
Hii ilikuwa baada ya Lowasa kuachia ngazi...chanzo african magic


  1. Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Utawala Bora - Mathias Chikawe
  2. Waziri wa Nchi, Oisi ya Rais, Mahusiano na Uratibu - Steven Wassira
  3. Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma - Hawa Ghasia
  4. Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais, Waziri wa Muungano - Samia Suluhu Hassan
  5. Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais, Waziri wa Mazingira - Dk. Terezya Luoga-Hovisa
  6. Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Waziri wa Sera, Uratibu na Bunge - William Lukuvi
  7. Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Waziri wa Uwekezaji na Uwezeshaji - Mary Nagu
  8. Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa - George Mkuchika
  9. Naibu Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (i) - Aggrey Mwanri
  10. Naibu Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (ii) - Kassim Majaliwa
  11. Waziri Wizara ya Fedha - Mustapha Mkullo
  12. Naibu Waziri Wizara ya Fedha (i) - Gregory Teu
  13. Naibu Waziri Wizara ya Fedha (ii) - Pereira Ame Silima
  14. Waziri Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi - Shamsi Vuai Nahodha
  15. Naibu Waziri Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi - Balozi Khamis Suedi Kagasheki
  16. Waziri wa Katiba na Sheria - Selina Kombani
  17. Waziri Wizara ya Mambo ya Nje - Bernard Membe
  18. Naibu Waziri Wizara ya Mambo ya Nje - Mahadhi Juma Mahadhi
  19. Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa - Dk. Hussein Ali Hassan Mwinyi
  20. Waziri Wizara yaMaendeleo ya Mifungo - Dk. Mathayo David Mathayo
  21. Naibu Waziri Wizara ya Maendeleo ya Mifungo - Benedict Ole Nangoro
  22. Waziri Wizara ya Mawasiliano Sayansi ya Teknolojia - Profesa Makame Mnyaa M'barawa
  23. Naibu Waziri Wizara ya Mawasiliano Sayansi ya Teknolojia - Charles Kitwanga (almaaruf Mawe Matatu)
  24. Waziri Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi - Profesa Anna Kajumulo-Tibaijuka
  25. Naibu Waziri Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi - Goodluck Ole Medeye
  26. Waziri Wizara ya Maliasili na Utalii - Ezekiel Maige
  27. Waziri Wizara ya Nishati na Madini - William Mghanga Ngeleja
  28. Naibu Waziri Wizara ya Nishati na Madini - Adam Kighoma Ali Malima
  29. Waziri Wizara ya wa Ujenzi (Barabara na Viwanja vya Ndege) - Dk. John Pombe Magufuli
  30. Naibu Waziri Waziri Wizara ya wa Ujenzi - Dk. Harrison Mwakyembe
  31. Waziri Wizara ya Uchukuzi - (Reli, Bandari, Usafiri wa Majini) - Omary Nundu
  32. Naibu Waziri Wizara ya Uchukuzi - Athuman Mfutakamba
  33. Waziri Wizara ya Viwanda na Biashara -Dk. Cyril Chami
  34. Naibu Waziri Wizara ya Viwanda na Biashara - Lazaro Nyalandu
  35. Waziri Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi - Dk. Shukuru Kawambwa
  36. Naibu Waziri Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi - Philipo Mulugo
  37. Waziri Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii - Dk. Haji Hussein Mpanda
  38. Naibu Waziri Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii - Dk. Lucy Nkya
  39. Waziri Wizara ya Kazi na Ajira - Gaudensia Kabaka
  40. Naibu Waziri Wizara ya Kazi na Ajira - Dk. Makongoro Mahanga
  41. Waziri Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto - Sophia Simba
  42. Naibu Waziri Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto - Umi Ali Mwalimu
  43. Waziri Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo - Emmanuel John Nchimbi
  44. Naibu Waziri Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo - Dk. Fenela Mukangala
  45. Waziri Wizara ya Ushirikiano Afrika Mashariki - Samuel John Sitta
  46. Naibu Waziri Wizara ya Ushirikiano Afrika Mashariki - Abdallah Juma Abdallah
  47. Waziri Wizara ya Kilimo, Chakula na Ushirika - Profesa Jumanne Maghembe
  48. Naibu Waziri Wizara ya Kilimo, Chakula na Ushirika - Christopher Chizza
  49. Waziri Wizara ya Maji - Profesa Mark James Mwandosya
  50. Naibu Waziri Wizara ya Maji - Gerson Lwing

Kwenye nyekundu matumbo joto
 
Back
Top Bottom