Cheka na dinazarde

Cheka na dinazarde

Dejane

JF-Expert Member
Joined
Jan 1, 2014
Posts
51,001
Reaction score
72,284
"Jamanii" nipo kwenye harusi , na
sasa umefika ule muda wa kujitambulisha makabila yetu,
lakini wamesema tujitambulishe kwa herufi nne za mwisho tu ili kuokoa "time",
mchaga amesha simama akasema
mimi- chaga.
mgogo mimi=gogo
mpare mimi=pare
mhaya mimi=haya
mhehe mimi=hehe
mjita mimi=jita
Dinazarde mimi ni MSUKUMA natetemeka hapa ikifika zamu yangu sijui itakuaje."""?????????:screwy::banghead::banghead::banghead:
 
Last edited by a moderator:
Kwani silabi mbili za mwisho katika kabila la wasukuma inatamkwaje?
 
"Jamanii" nipo kwenye harusi , na
sasa umefika ule muda wa kujitambulisha makabila yetu,
lakini wamesema tujitambulishe kwa herufi nne za mwisho tu ili kuokoa "time",
mchaga amesha simama akasema
mimi- chaga.
mgogo mimi=gogo
mpare mimi=pare
mhaya mimi=haya
mhehe mimi=hehe
mjita mimi=jita
Dinazarde mimi ni MSUKUMA natetemeka hapa ikifika zamu yangu sijui itakuaje."""?????????:screwy::banghead::banghead::banghead:
danganya.... kwani kuna anaekujua?

otherwise sema umeshikwa na kigugumizi! lol..
 
"Jamanii" nipo kwenye harusi , na
sasa umefika ule muda wa kujitambulisha makabila yetu,
lakini wamesema tujitambulishe kwa herufi nne za mwisho tu ili kuokoa "time",
mchaga amesha simama akasema
mimi- chaga.
mgogo mimi=gogo
mpare mimi=pare
mhaya mimi=haya
mhehe mimi=hehe
mjita mimi=jita
Dinazarde mimi ni MSUKUMA natetemeka hapa ikifika zamu yangu sijui itakuaje."""?????????:screwy::banghead::banghead::banghead:

omit M na MA
 
Last edited by a moderator:
"Jamanii" nipo kwenye harusi , na
sasa umefika ule muda wa kujitambulisha makabila yetu,
lakini wamesema tujitambulishe kwa herufi nne za mwisho tu ili kuokoa "time",
mchaga amesha simama akasema
mimi- chaga.
mgogo mimi=gogo
mpare mimi=pare
mhaya mimi=haya
mhehe mimi=hehe
mjita mimi=jita
Dinazarde mimi ni MSUKUMA natetemeka hapa ikifika zamu yangu sijui itakuaje."""?????????:screwy::banghead::banghead::banghead:

haichekeshi mbona!
 
Last edited by a moderator:
It's a joke note a quiz question people. Stop trying to give answers... u r supposed to laugh if u get the joke that's all
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom