snochet
JF-Expert Member
- Mar 31, 2011
- 1,407
- 1,109
Nyoka na mama yake
Siku moja nyoka mmoja akiwa na familia yake wakipaata msosi,motto wa nyoka akaanza kumuuliza mama yake
Motto:eti mama,ni kweli tuna sumu kama watu wanavyosemaga?
Mama:ndio mwanangu kwa nini umeuliza hivyo?
Motto:nimejingata uliimi wakati natafuna.
Mwanafunzi kilaza
Mwalimu wa hisabati anaingia darasani anauliza.
Mwalimu:nani anajua kutafuta eneo la pembe tatu?
Mwanafunzi:kwanza ulipotezea wapi?
Siku moja nyoka mmoja akiwa na familia yake wakipaata msosi,motto wa nyoka akaanza kumuuliza mama yake
Motto:eti mama,ni kweli tuna sumu kama watu wanavyosemaga?
Mama:ndio mwanangu kwa nini umeuliza hivyo?
Motto:nimejingata uliimi wakati natafuna.
Mwanafunzi kilaza
Mwalimu wa hisabati anaingia darasani anauliza.
Mwalimu:nani anajua kutafuta eneo la pembe tatu?
Mwanafunzi:kwanza ulipotezea wapi?