Cheka kidogo

Cheka kidogo

Mshana Jr

Platinum Member
Joined
Aug 19, 2012
Posts
360,330
Reaction score
829,464
1445102773826.jpg
 
Wanawake ndo walivyo hawajui wanataka nini
 
Namkunguta mkono. Nakumpiga jicho kali sana. Hatorudia tena.
 
Utakuwa MURAA wewe!

Hapana mimi wa kabila lingine kabisa. Ni vile sitaki mchezo. Ale chake kama hajashiba aseme, nitanunua kingine. Ishanitokea, kudokolewa mishkaki yangu kwa kuwa ni mingi na yeye kaagiza miwili tu wakati nilimuambia agizia chochote. Nikaita muhudumu nikamwmbia mpe mishkaki kumi huyu. Ili aache kula ya kwangu.
 
Hapana mimi wa kabila lingine kabisa. Ni vile sitaki mchezo. Ale chake kama hajashiba aseme, nitanunua kingine. Ishanitokea, kudokolewa mishkaki yangu kwa kuwa ni mingi na yeye kaagiza miwili tu wakati nilimuambia agizia chochote. Nikaita muhudumu nikamwmbia mpe mishkaki kumi huyu. Ili aache kula ya kwangu.

Hahahahaaaaaaa hahahahaaaaaaa hahaaa
 
Hapana mimi wa kabila lingine kabisa. Ni vile sitaki mchezo. Ale chake kama hajashiba aseme, nitanunua kingine. Ishanitokea, kudokolewa mishkaki yangu kwa kuwa ni mingi na yeye kaagiza miwili tu wakati nilimuambia agizia chochote. Nikaita muhudumu nikamwmbia mpe mishkaki kumi huyu. Ili aache kula ya kwangu.

Haaa haa haaa we kiboko ungenifanyia mimi hivo siku hiyo hiyo ndo ingekuwa bye bye!...see mi na tabia hii lakini sio kama namdokolea lahasha! Jus show love to him, kuwa tuko pamoja! We inaonekana hujui hata kubembeleza/ kubembelezwa utakimbiwa coz wanawake wanapenda kudeka sana shauri yako!
 
Back
Top Bottom