Hahaa hatari sana. Mimi sijambo sana mkuu sijui wewe
Tutafika tu Mungu ni mwemaAisee mie niko puwa kabisa.. Tunaendelea na mchakamchaka tuone kama tutafika..
DuuShigongo kalipwa au kalishwa gundi?
MkopoImesemwa hawatalipwa bila kuwa na ushahidi, sasa mlitakaje wakuu?
Walipwe tu bila vielelezo?
Itakuwa hana ushahidi wakutoshaShigongo kalipwa au kalishwa gundi?
Tena kimya kimyaKwa hiyo wanaisoma namba

Kumbe ni wanachama?Na mjomba dhahabu alilipwa?Hao wasanii walivyopewa mic walijitambulisha kuwa ni wanachama wa CCM ndiyo maana chama hikiwalipi kimeona ni majukumj ya wanachama kukipigania chama bure kabisa kwa kujitolea.
Tumuulize Milard AyoJamani ya kweli haya?