mkeyamasai
JF-Expert Member
- Jul 21, 2013
- 383
- 156
Simple sana hiyo; Pointi ni kwamba hiyosimu wala namba hazifahamu...
Mwambie simu uliiacha makusudi pale ndani, na siyo yako ni ya jamaa(rafiki yako) jana alilewa akaisahau hivyo ukamtunzia asije poteza, Baada ya intro hiyo namuomba anipe hiyo simu ili nimpelekee jamaa jioni
Labda huyo mke kaishia lasaba mimi lazima nimtafute tigo pesa au mpesa nihakikishe kama kweli si yake.
Yeah, ni rahisi kushauri....lakini Thubutu kukutwa.....
Kikubwa unachotakiwa kufanya KWANZA usitetemeke halafu simamia pointi yako
Naandika hii post nikiwa nacheka mbavu sina mwenzenu. Jana kuna mshikaji wangu alinisimulia yaliyomsibu siku nzima kiasi cha kukosa amani ya moyo siku nzima kiasi cha kuja kuniomba ushauri. Ilikuwa hivi, jamaa ni cheater sana lakini mkewe bado hajagundua. Ana simu tatu. Moja bei mbaya (simu kali). zingine mbili za kawaida na kati ya hizi, simu ya bei ya chini kabisa (mkweche) ndo ina line za cheating na hiyo simu haachii popote aendapo. Hata namba zake mkewe hajui.
Sasa jana jumapili akiwa katika harakati za kwenda church, akawa anachelewa so akarush kwa haraka, akawa kabeba simu mbili za kawaida na kusahau ile ya cheating kitandani. Akawa amekumbuka kuwa kasahau simu akiwa kanisani. Pressure ikampanda akawa hasikilizi tena ibada, alafu mkewe huwa ana tabia ya kuchelewa kwenda kanisani. Mbaya zaidi mkewe anasali kanisa lingine, kwa hiyo kuonana ni mpaka mchana sana. Aliporudi home akawa mwoga kwani alikuwa na maswali mengi yasiyo na majibu, 1) Itakuwaje kama wife ameshika hiyo simu na kusoma msg au kupokea simu ikipigwa? 2) Akifika ataanzaje kumsemesha mkewe ili hali hajajua kama mrs alishika hiyo simu au la? 3) Kama mkewe atakuwa kafuma madudu yaliyomo mle kwenye simu nini kitafuata?
Kama ni wewe hebu tueleze unaporudi home ungeingia kwa gia gani hapo?
Naandika hii post nikiwa nacheka mbavu sina mwenzenu. Jana kuna mshikaji wangu alinisimulia yaliyomsibu siku nzima kiasi cha kukosa amani ya moyo siku nzima kiasi cha kuja kuniomba ushauri. Ilikuwa hivi, jamaa ni cheater sana lakini mkewe bado hajagundua. Ana simu tatu. Moja bei mbaya (simu kali). zingine mbili za kawaida na kati ya hizi, simu ya bei ya chini kabisa (mkweche) ndo ina line za cheating na hiyo simu haachii popote aendapo. Hata namba zake mkewe hajui.
Sasa jana jumapili akiwa katika harakati za kwenda church, akawa anachelewa so akarush kwa haraka, akawa kabeba simu mbili za kawaida na kusahau ile ya cheating kitandani. Akawa amekumbuka kuwa kasahau simu akiwa kanisani. Pressure ikampanda akawa hasikilizi tena ibada, alafu mkewe huwa ana tabia ya kuchelewa kwenda kanisani. Mbaya zaidi mkewe anasali kanisa lingine, kwa hiyo kuonana ni mpaka mchana sana. Aliporudi home akawa mwoga kwani alikuwa na maswali mengi yasiyo na majibu, 1) Itakuwaje kama wife ameshika hiyo simu na kusoma msg au kupokea simu ikipigwa? 2) Akifika ataanzaje kumsemesha mkewe ili hali hajajua kama mrs alishika hiyo simu au la? 3) Kama mkewe atakuwa kafuma madudu yaliyomo mle kwenye simu nini kitafuata?
Kama ni wewe hebu tueleze unaporudi home ungeingia kwa gia gani hapo?
Mwanaume kama mimi uta enjoy sana maana sitoki nyumbani kabla sija ona smile lako la ukweli halafu unanichum... hamna cha ngumi wala msonyo
najua utanipiga, ila kipigo kile kinachoendana na maneno soft.. ''yaani wewe lione kwanza.. ulinichanganya''. utaniua kwa pressure
Ebo mi nilidhani unatupa yaliyojiri baada ya kurudi nyumbani kumbe ni mambo ya kitendawili tega nikutegeNaandika hii post nikiwa nacheka mbavu sina mwenzenu. Jana kuna mshikaji wangu alinisimulia yaliyomsibu siku nzima kiasi cha kukosa amani ya moyo siku nzima kiasi cha kuja kuniomba ushauri. Ilikuwa hivi, jamaa ni cheater sana lakini mkewe bado hajagundua. Ana simu tatu. Moja bei mbaya (simu kali). zingine mbili za kawaida na kati ya hizi, simu ya bei ya chini kabisa (mkweche) ndo ina line za cheating na hiyo simu haachii popote aendapo. Hata namba zake mkewe hajui.
Sasa jana jumapili akiwa katika harakati za kwenda church, akawa anachelewa so akarush kwa haraka, akawa kabeba simu mbili za kawaida na kusahau ile ya cheating kitandani. Akawa amekumbuka kuwa kasahau simu akiwa kanisani. Pressure ikampanda akawa hasikilizi tena ibada, alafu mkewe huwa ana tabia ya kuchelewa kwenda kanisani. Mbaya zaidi mkewe anasali kanisa lingine, kwa hiyo kuonana ni mpaka mchana sana. Aliporudi home akawa mwoga kwani alikuwa na maswali mengi yasiyo na majibu, 1) Itakuwaje kama wife ameshika hiyo simu na kusoma msg au kupokea simu ikipigwa? 2) Akifika ataanzaje kumsemesha mkewe ili hali hajajua kama mrs alishika hiyo simu au la? 3) Kama mkewe atakuwa kafuma madudu yaliyomo mle kwenye simu nini kitafuata?
Kama ni wewe hebu tueleze unaporudi home ungeingia kwa gia gani hapo?
Hahhaaha Lol nitakucharaza bakoraa..nakufungia room nakuchapa kama uko high school
Well said mkuu :a s 41: :a s 41: :a s 41: :a s 41: :a s 41:
umenikumbusha my best friend (Rest in peace A) jamaa alikua anampenda sana mke wake na familia yake. I can say alikua kama kioo kwa sisi wengine maana ilikua kila kitu wife ananinanga kwa nini usiwe kama mwenzako? ilikua kero......sasa babahati mbaya alipata ajali mbaya na alifariki hapohapo........baada ya mazishi mkewe aliitwa ofisini kwa jamaa kwa ajili ya kuchukua vitendea kazi vyake........walimvunjia droo ya mshikaji na akachumbua vitu binafsi na vya ofisini vilibaki.....katika vitu binafsi na simu ilikuwepo pia.......kwa kweli hamna mtu aliye amini ......jamaa alikua na demu mwingine tena amezaa naye watoto wawili....kwenye droo kulikua pia na picture ya hao watoto na huyo demu.....simu ilikua ina mawasiliano ya wanawake wengine zaidi na kulikua na msg nyingi za mapenzi...........kilio kilianza upya....yule mke wa jamaa hajawai kuniamini kuwa hata mimi nilikua sijui kitu.......hata mke wangu pia hajawai kuamini.......wife alinipigia mpaka magoti akilia akitaka nisimfiche kitu kama mimi nina watoto au mke wannje maana ataumia sana akijua baada ya kifo changu..........its better mke akujue tabia yako kuliko kuficha alafu siku haupo ndio dhambi zako zinajulikana......usimwachie mke wako machungu.....maana tayari atakua ana kazi kubwa ya kuwalea watoto wako ukiwa uko kaburini.